Afadhali Man U leo wameniokoa maana wife kaanza katabia...anataka nae nimchape magoli idadi sawa na vijana waliyofunga...Leo ratiba inaonesha viwili tu ha ha ha ha...kuwa Man U rahaaa jamani.
Huu ukuta hatari sanaaa....Bailly,Lendelof,Jones,smalling,Valencia,Darmian,Shaw bila kumsahau kaka jambaziii [HASHTAG]#Marcos[/HASHTAG] Rojo a.k.a Mnyamaaa