Acha nikuuzie wazonasubiria hilo group la whatsapp ila sharti member wa humu tuwepo wote ili family yetu isipotee. 0716561026
Sent using Jamii Forums mobile app
humu humu kunatoshaAcha nikuuzie wazo
Anzisha wewe kisha tupatie mualiko kwa wale watakaokuwa tayari watakupa no zao PM vinginevyo ndugu yangu itakua ni uongo TZ kila MTU anasubiri mwingine aanze
Lada kama kunakundi tayari tuambiane
Yani Pogba kawa kama Baloteli.Hapana napingana na mashabiki wenzangu wa Man U, jana Pogba alikuwa katika kiwango kibovu zaidi tulivyotegemea angalia maoni ya wachambuzi wengi kuhusu Pogba katika Match ya jana.
Hakuwa katika kiwango chake, wengi tulishangazwa kutolewa kwa Herera na kuachwa Pogba uwanjani.
Pogba ni mchezaji mzuri akijitambua na akiacha Kuridhika na kujiskia, anakosa Moyo wa Cr7 katika kupambana.
Bado sio wa kumtegemea katika Match kubwa au kubadilisha matokeo tunapohjtaji kufanya hivyo.
Match ya Madrid alicheza hovyo mno, hadi sasa ni Match na Chelsea old T ndio alionesha angalau nusu ya uwezo wake.
Anatakiwa kubadikika kama anataka kweli kuwa Mchezaji bora wa Dunia na mfalme wa old T.
Vinginevyo Mou anatakiwa kuanza kumuweka banch ili kumpa changamoto.
Sent using Jamii Forums mobile app
ok acha niunge nitawatumia link.Acha nikuuzie wazo
Anzisha wewe kisha tupatie mualiko kwa wale watakaokuwa tayari watakupa no zao PM vinginevyo ndugu yangu itakua ni uongo TZ kila MTU anasubiri mwingine aanze
Lada kama kunakundi tayari tuambiane
Stop that Racial Status QuoNaangalia Barca wanavyo hangaika kumpata Dembele (mtu mweusi)
Namuona kijana Mbappe anavyogombaniwa na vilabu vikubwa naye pia ni mweusi
Namuona Mane ambaye ni mweusi anayetokea kwetu afrika kabisa anavyoisaidia timu ya liverpool
Nawaona Arsenal wamempata Lacazzete ambaye pia ni Mweusi
Chelsea wakimuongeza Bakayoko vile vile naye ni mweusi
Hawa ni baadhi tu lakini cha kushangaza bado kuna mtu anadharau watu weusi tena katika mchezo wa soka au tatizo ni kwamba weusi hao aliwazungumzia yeye wanacheza man united. Ni makosa makubwa sana kuingiza rangi ya ngozi kwenye soka tena kauli hiyo ikitokea kwa mtu ambaye labda anaishi afrika na pia ni mweusi
Haiwezekani, si walisema wanaongoza ligi ????? Imekuwaje tena !!!Jamani mtaa wa jirani asernal kimenuka huko
Umeshasahau tupo Antarctica.... Huko barafu huwa haliyeyuki.....
Kwann unajichosha kumjibu shabiki wa asinoo au Chelsea? Mashabiki wa asinoo akili zao zipo kwa Wenger wanaendeshwa kama maroboti bila remote control hayaendi.
Asante sana mkuu ila nimekutembelea Kyle kwako sijakuona?Mmecheza mpila mzuri sana naweza sema Hongera kwa mourinho the guy he's full of tactics sina ubishi Bado I'm looking forward to your day of glory...consistency
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu MTU akitua itakuwa poa saba
Creat la Tellegramnasubiria hilo group la whatsapp ila sharti member wa humu tuwepo wote ili family yetu isipotee. 0716561026
Sent using Jamii Forums mobile app