mi kwa upande wangu naungana naye kabisa kwa kweli.....kikosi chetu kina dimension nzuri sana na kila eneo lina watu wengi sana mpk wengne tulianza kuwatoa kwa mkopo mfn Mensah aliyeenda Crystal Palace
Madogo wetu pia wapo vizuri kwenye academy yetu...hatuna budi kuwapa uzoefu kidogo kidg hasa kwenye League Cup, FA cupna hata sub za mwishoni mwishon mwa mechi.....
Hebu angalia msululu huo wa wakali wetu ambao wengne waling'aa kule kwenye US Tour mwezi wa sita na saba mwaka huu
1. D. HENDERSON
DOB: 12/03/1997 Position: Goalkeeper
1. I. MOUTHA-SEBTAOUI
DOB: 01/04/1999 Position: Goalkeeper
2. K. O'HARA
DOB: 22/04/1996 Position: Goalkeeper
4. J. KENYON
DOB: 02/01/1999 Position: Defender
5. D. MITCHELL
DOB: 11/01/1997 Position: Defender
M. OLOSUNDE
DOB: 07/03/1998 Position: Defender
R.S. WILLIAMS
DOB: 03/09/1998 Position: Defender
R. POOLE
DOB: 18/06/1998 Position: Defender
C. SCOTT
DOB: 02/09/1997 Position: Defender
T. WARREN
DOB: 05/10/1998 Position: Defender
T. SANG
DOB: 29/06/1999 Position: Defender
J. RILEY
DOB: 06/12/1996 Position: Defender
S. MCTOMINAY
DOB: 08/12/1996 Position: Midfielder
C. WHELAN
DOB: 24/09/1998 Position: Midfielder
T. KEHINDE
DOB: 18/06/1998 Position: Midfielder
D. BUFFONGE
DOB: 07/11/1998 Position: Midfielder
C. GRIBBIN
DOB: 18/12/1998 Position: Midfielder
D. REDMOND
DOB: 19/09/1996 Position: Midfielder
na wengne kibao ambao kama tunawapa exposure wanaweza kuwa nguzo kubwa ya Man Utd cku za mbeleni. Tusisahau kwmb Barcelona iliyotesa cku za hv karibuni kati ya 2005-2015 yote yalikuwa ni matunda ya La Masia ambayo ni academy inayoproduce wachezaji wengi sana wa Barcelona bila kusahau pia Real Madrid ambao wanawapa sana madogo exposure inayowajenga na kuwa wachezaji wakubwa bdae
Ni maoni yangu tu wadau
[HASHTAG]#GGMU[/HASHTAG]
Sent using
Jamii Forums mobile app