Newfame
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 485
- 1,134
Mkuu@Feranga Rashford did his work at best level,kazi yake kubwa ni kuchochea mashambulizi na kumrahisishia au kumpunguzia kasi Lukaku.huu moto uendelee..sema rashford na mikhi kama kuna uselfish flani kwa mbali,mou awakemee..martial ni mchezaji mzuri sema anatakiwa aeshimike..
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliwasumbua sana Mabeki wa west ham hasa upande wa kushoto na ndio yalipotokea magoli yetu.
Nadhani now Rashford anatakiwa kufunga baada ya Lukaku kufunga.
Bado Mikh anatakiwa kubadilika mana Now anarudishwa kucheza namba 10 na Rashford akipewa Winger ya kushoto,game ya na Westham Mikh hakuonekana sana ila alikuwa na bahati tu.
Sent using Jamii Forums mobile app