Manchester United (Red Devils) | Special Thread

huu moto uendelee..sema rashford na mikhi kama kuna uselfish flani kwa mbali,mou awakemee..martial ni mchezaji mzuri sema anatakiwa aeshimike..

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu@Feranga Rashford did his work at best level,kazi yake kubwa ni kuchochea mashambulizi na kumrahisishia au kumpunguzia kasi Lukaku.

Aliwasumbua sana Mabeki wa west ham hasa upande wa kushoto na ndio yalipotokea magoli yetu.

Nadhani now Rashford anatakiwa kufunga baada ya Lukaku kufunga.

Bado Mikh anatakiwa kubadilika mana Now anarudishwa kucheza namba 10 na Rashford akipewa Winger ya kushoto,game ya na Westham Mikh hakuonekana sana ila alikuwa na bahati tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
umetia chumvi....alikuwa akimuambia refa westham wanapoteza muda na hawakemei.
 
...Nilichogundua mimi kwa mechi nyingi za nyumbani tukiwa tunacheza team za kawaida nahisi Mourinho atakuwa anaweka 2midfiled...Matic na Pogba..ila kwa mechi za away itakuwa 3 midfiled...Matic ,Herrera and Pogba.
Umeongea kimpira sana, that is true lakini kwa timu zinazoshambulia naiona nafasi ya Herera.

Timu kubwa zote zikija pale Old T or tukiwa nazo away namuona Herera akipata nafasi.

Bado tunatafuta combination katika viungo, Matic,Herera na Pogba or Matic,Pogba na Matta.

Na pale mbele, Lukaku,Rashford na Mikh or Lukaku, Rashford na Martial.

Bado tuna shughuli katika kupata first eleven ya uhakika.

Uzuri tuna wachezaji wa F. A na Carring, akina Pereira na Lingard.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu kama ile mechi ya madrid ingelichezwa old trafford basi lingard hata benchi asingekuwepo.
Kwakwel lingard huwa ni mpambanaji uwanjani na sio rahisi kukata tamaa na mou anapenda wachezaji wa kaliba yake ndio maana kwenye mechi nyingi ambazo wapinzani ni mafundi hasa middle lingard huwa anaanzishwa maana dogo ni fighter na anapambana Ku impress, ko huwez shangaa lingard akaanza mechi ambazo haukutegemea
 
ni kweli ila lingard mpira wake unatabirika na ndio maana mashabiki wanapendezwa zaidi pindi anapoanza martial au mata
 
Napenda pale nawahi nayakutaaa majamaa ndo yanatelemka kwenye bus lao, ma earphones nini yanazama ndani. Mara wanazama ground ku stretch nini. Screen inakuwa inalionesha li-Pogba, li-Lukakubolingo na ngae, li-mikono 10000 de gea
li-matheMATIC dah.
 
Wakuu kuna kitu nakiona hapa..sijui kwa mitazamo yenu ila mimi naona MATIC ni THREAT kwa HERRERA.. kwa sababu anaperform vizur sana na amefit kumfanya pogba afunguke kitu ambacho Ander Herrera alishindwa..alafu pale katikati hakuna wakumpiga benchi POGBA ss naona MATIC,HERRERA na FELLAIN wanagombea namba moja na winner ni definitely MATIC. Au mnaonaje wakuu!! GGMU!! GGMU!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahahahahaaaa mimi nilikuwa nawaogopa chelsea kwenye champions league pindi ule muziki wa we are the champions unapoimbwa. unakuta mstarini amesimama essien, ballack, obi, lampard anajiramba ulimi, drogba, makelele halafu cha kuchekesha timu pinzani inaundwa na wachezaji wenye miili dhaifu kama park, ronaldo, brown.
heshima kwake jose mourinho kwa kutengeneza timu ngumu kama chelsea ya 2005
 
Hererra atakuwa wa kazi maalum

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…