Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread



pichani anaonekana Thiago Alcantara akishangilia goli.

Klabu bingwa la ligi kuu ya England wanaripotiwa kupeleka ofa ya paundi millioni 15 kwa ajili ya kupata saini ya kiungo wa Spain na Barcelona Thiago Alcantara.Thiago amekuwa akitumika na Barca katika harakati za kutaka kumrudisha Cesc Fabregas Nou Camp kwa kumtoa kwa mkopo au kumuuza kwa Arsenal kwa mkataba utakaokuwa na kipengele cha kuwawezesha wao(Barca) kumnunua watakapomhitaji tena, sasa amekuwa gumzo katika dirisha la usajili barani ulaya akifuatilwa na timu kama Chelsea na Bolton.

United wanamuona Alcantara kama moja ya viungo wanaoweza kuziba pengo la Paul Scholes hivyo kumfanya Sir Alex Ferguson kufungua pochi kwa ajili ya kinda huyo ambaye aliifungia timu yake ya Spain bao la ushindi katika fainali ya EURO under 21, weekend iliyopita.

Wakati huo huo taarifa za ndani kutoka katika klabu hiyo ya Mashetani Wekundu zinasema kuwa Manager wa United anatarajiwa kupeleka ofa nzuri ya paundi million 20 kwa Arsenal kwa ajili ya kiungo mfaransa Samir Nasri.

Man United ambao wamekuwa wakihusishwa na kuihitaji huduma ya Nasri tangu mchezaji huyo alipokataa kusaini mkataba mpya na klabu yake ya Arsenal kutokana na masuala ya mshahara, sasa man u wanaonekana kuwa serious na kukamilisha uhamisho wa mchezaji huyo kabla ya kuanza kwa matayarisho ya ligi ya msimu ujao.

 
Mbwembwe tu, asubili zake na atatimuliwa au kuwekwa benchi kabla ya msimu kuisha.
 
Talksport have an interview with News of the World journalist Neil Ashton on their website in which he insists Samir Nasri is a top target for the Reds and Sir Alex has his "heart set" on landing the Arsenal midfielder, who only has a year left to run on his contract at the Emirates Stadium. This story first broke in L'Equipe some time ago and will rumble on unless the midfielder signs a new deal.

If this is true then Gooners are in big trouble as they will soon lose Fabregas to Barca.
 
Spanish side Valencia will make a £14m offer for Manchester United's Dimitar Berbatov, who looks to be on his way out of Old Trafford this summer despite being the club's top scorer last season.
Full story: Footy Bunker
United have already made enquiries for Napoli striker Edinson Cavani as a replacement for Berbatov.
Full story: Footy Bunker


Arsenal are eyeing £15m-rated Bayer Leverkusen attacking midfielder Arturo Vidal as a possible replacement for Cesc Fabregas and Samir Nasri.
Full story: Daily Mirror

The later to United.
 
Tumebakiza usajili wa mchezaji mmoja CM tukamilishe mambo, sasa tricky part ni kuwa who do we go for? Sneijder, Modric au Nasri?
David-de-Gea2_2615556.jpg
 

Attachments

  • David-de-Gea2_2615556.jpg
    David-de-Gea2_2615556.jpg
    23.9 KB · Views: 20
Spanish side Defensa Central report that Lassana Diarra is only interested in a move to Old Trafford and not Juventus or Galatasaray, who have apparently actually made offers. Real Madrid boss Jose Mourinho does not want to allow the midfielder, who was previously with Arsenal and Chelsea, to leave and he's just one of the many, many midfielders who have been linked with United.
 
John Cross and Darren Lewis write in the

Daily Mirror...

Arsenal fear Fab and Nasri will leave this week
Arsenal fear they will lose £20million Samir Nasri and Cesc Fabregas this week. The Gunners last night received an improved £34million bid from Barcelona for club captain Fabregas. And Manchester United are also ready to make their move for Nasri with a view to sealing a deal before pre-season training begins next week. Arsenal could find it hard to resist a £20million offer for a player in the final year of his contract at the Emirates. Gunners boss Arsene Wenger has already made it clear Nasri will not be allowed to run his contract down and leave on a free as midfielder Mathieu Flamini did three years ago. Wenger has been trying to persuade Nasri that the club's six-year spell without trophies will come to an end next season. But any success is unlikely to feature Fabregas, as Barcelona last night made an improved £34m bid for the Gunners skipper. And United are still understood to be confident of landing a second body blow on their title rivals by spiriting away 24-year-old Nasri.
 
Sir Alex is be made a doctor of the University of Stirling today (Wednesday) for his "outstanding contribution" to sport.
 
Simtaki Nasri, asije kabisa. Scheider too expensive , kuna vijana pale kocha awape airtime watang'ara tu. Ando, pogba, morrison, tunniclife, cleverly, gibson are all quality young players ready to step on Scholes shoes. Tunahitaji zaidi Striker, amteme Berbatov, Cavani, Hulk au Falcao itakua deal.
 
Just about every United fan you speak to wants Sir Alex to buy a central midfielder. Now, in an interview with Singapore's The New Paper, Gary Neville has revealed he thinks the boss will splash out in that position: "I think the manager will sign a central midfielder because of Owen Hargreaves leaving and Paul Scholes retiring." But Neville, now a club ambassador, has no idea of the identity of United's transfer targets. "The club keep transfers very quiet because they don't want other clubs to be aware that they're moving for somebody," he said. "They don't
 
Simtaki Nasri, asije kabisa. Scheider too expensive , kuna vijana pale kocha awape airtime watang'ara tu. Ando, pogba, morrison, tunniclife, cleverly, gibson are all quality young players ready to step on Scholes shoes. Tunahitaji zaidi Striker, amteme Berbatov, Cavani, Hulk au Falcao itakua deal.

Hao Kwenye red sijawaona, ila hao blue hapana they are just not good enough kumbuka wana 21 and 23 repectively. hata mimi si fan wa Berbatov he is not a deadly finisher, he is not good with counter attacks he always slows down the move, we will just mic his stylish goals if he goes.
 
In the last few hours, Fiorentina sporting director Pantaleo Corvino has issued a statement on the Italian club's website. Youth team goalkeeper Pierluigi Gollini, an Italy Under-17 international, has revealed a move to Manchester United is imminent , but Corvino isn't convinced things will work out in England for the shot-stopper. He admits he's "surprised" by Gollini's decision to move because, in his words, "of about 150 players who have chosen to go and play overseas, no one has managed to emerge into a first-team".
 
Don't forget, you can have your say on all things transfer related on the Talking Reds message board. United fan rogueinred has done just that and thinks Sir Alex should sign Tottenham midfielder Giovani dos Santos: "He can play in central midfield and won't cost us much. Plus, he's young so will be an investment for the future. It's all well and good getting in a 'star' but what you need is quality, and dos santos certainly showed it [in the recent Gold Cup tournament for Mexico]. With Chicha already in the team, getting Dos Santos would be easy."
 
Naona SSN wamebadirisha story yao kuwa Citeh wamemsajili Samir Nasri, sasa wanasema ni front runners. Hawa noisy neighbors naona wanataka kila mchezaji tunayemtaka sasa walianza na Sanchez.

I have a feeling SAF anaweza asisajili CM instead akawatumia akina Anderson kwenye ilo pengo.
 
Naona SSN wamebadirisha story yao kuwa Citeh wamemsajili Samir Nasri, sasa wanasema ni front runners. Hawa noisy neighbors naona wanataka kila mchezaji tunayemtaka sasa walianza na Sanchez.

I have a feeling SAF anaweza asisajili CM instead akawatumia akina Anderson kwenye ilo pengo.

Kweli Nyani haoni ...... ...... ..... ..... ... khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee chacha hamjamaliza kubadili timu?
 

Kweli Nyani haoni ...... ...... ..... ..... ... khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee chacha hamjamaliza kubadili timu?


Bado hatujamaliza ndo mana tunafukizia kununua wachezaji wa mafungu kutoka soko la ufaransa.
 
Back
Top Bottom