Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Unachokiona na mimi huwa naona hivohivo. Lakini Mou sijui anaamini nini kutoka kwa Pogba?! Ndomaana jana ile Halftime niliomba Big Fella aingie. Fella watu hawamjui tuu ila anapoga mashambulizi hafu ndani ya 18 unamkuta kwenye angle za magori. Yaani ukiutupa mpira mrefu unamkuta Fella kafika. Pogba anataka kuonesha kuwa wa thamani while not this time. Mata! Mata sio wa kukaa nje kwa game ya wakimbiaji kama ile. Mtoto ana akili sana yule. Ila ata beki yetu ile Lindelof mmmmh. Unajua nammiss sana Rio Ferd. Jamaa alikuwa anapanga mabeki wake all times. Alikuwa na uwezo wa kupanda na mpira hadi kati na kutoa pande watu waende. He was a leader. Smilling anakaza ila nae namna ya kupangana na wenzie ndo shida. Thanks Van Gaal aliweza kuwatumia saana Jones na Smilling na walionekana wanaelewana. Jamaa kawaaribu kabisa. Kila mara beki zinakuja mpya na wao wapo wanakosa amani. Kiufupi Mou anatakiwa aamini kikosi chake Rashford, Martial, Mata, A Pereira, Darmian na Smalling bila imani hatuendi. Ila tuko vizuri bila shaka game ya kwanza EPL tutaua mtuu.
 
Kweli wewe ni mwanamichezo naungana naww Mou atatucost kwa kulazimisha mchezaji huyo huyo acheze
 
Tushushe munkari!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi mabingwa wa EPL.wa sasa na wa baadae.kombe asipochukua chelsea anachukua NEWCASTLE UNITED.timu yangu ya utotoni.
Msipo muuza pogba makombe mtaishia kuyaangalia tu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Najua mnamuogopa Pogba sana kama jinsi Ccm wanavyomuogopa Lissu. Makombe tutaendelea kubeba kama kawaida yetu.
 

Pogba jana kacheza vizuri sana,wao na Matic waliwexa kuhakikisha timu inacheza na mipira inafika mbele. Najua mnamuogopa Pogba sana ndio maana tukifungwa lazima mumuongelee.
Kwanza mmewai kucheza Super Cup?
 

Sisi mashabiki wa Utd ndio tunajua uwezo wa Pogba akiwa uwanjani. Msimu uliopita alikosa mechi 3 lakini timu iliteseka kucheza,hakukua na muelekeo wa timu kabisa na hao wanaosema Pogba hafai wakanza kusema anafaa.
 
Sisi mashabiki wa Utd ndio tunajua uwezo wa Pogba akiwa uwanjani. Msimu uliopita alikosa mechi 3 lakini timu iliteseka kucheza,hakukua na muelekeo wa timu kabisa na hao wanaosema Pogba hafai wakanza kusema anafaa.

Sawa ila jamaa hana consistency kabisa. Yaan kuwepo kwake kwenye games nyingi anaonekana hana madhara. Kwa EPL sawa maana timu nyingi kama uwezo ziko sawa. Ndomaana inafika wakati huwezi tabiri nani anashinda. Ila timu tuitoe nje kukutana na timu kama Madrid, Barca, Bayern, Juve, PSG huwezi muona Pogba. Ujue Pogba is very worth. Anatakiwa piga mpira wa thaman yake. Umri alionao ndoanatakiwa kuwa on fire sasa.
 

Uwanjani wako 11, kama unamuangalia mmoja ndio afanye kila kitu hile sio tennis.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…