Ndio maana sinaga wasi wasi na usajili wa mourinho!! Jana niliona shughuli ya huyu jamaa!! sasa sijui tutasingizia nini tena maana beki wapo, kipa yupo, viungo wapo wakiongozwa na pogba na matic, na pale mbele tuna lukaku!!
Credit nampa aliepiga shoot team butu sana haishambulii hata kidogo inatia hasira sisi wacatalonia tunaita dead football you have to attack and attack and attack hadi opponent apagawe akili zinavurugika