OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,931
- 25,245
Wozaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa..Natoa pongezi kwa wanazi wote wa Manchester united kwa kuuvamia na kuusasambua Uzi wa Chelsea .... Hawatasahau Yale mashambulizi ya Jana kutoka kwa Kamarada Enock Mwigane (everlink) na Mwalimu Gashasha (Sister)
Naomba team hii ipewe ulinzi wa kutosha , Mwenye namba ya Simon Sirro anipatie ili tuombe ulinzi si kwa kuuvamia Uzi wa Chelsea namna ile
Sent From My Nokia Ya Tochi
Ha ha ha walikuwa wabishi ila tuliwapima hivyo hivyo...Kumbe Wakati sisi tumetulia kuna kikosi maalum kilienda kupima mkojo wa watu wa BLUE wakiongozwa na makemia mkuu everlenk?
Mwaka huu nyekundu inatawala😡
Tutatwaa taji hatuna maneno mengi
Kesho garasa matic litakuwa na wakati mgumu sana ..jitu zito kama lukaku ndo kabisaa litapoteana.
LukakuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuKesho garasa matic litakuwa na wakati mgumu sana ..jitu zito kama lukaku ndo kabisaa litapoteana.
Kesho ndo itadhibitika kuwa kikosi cha man u hakitakuwa na ushindani wowote wa kutisha kwenye michuano ya UEFA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Atiiiiii unasemaaaaaaKesho garasa matic litakuwa na wakati mgumu sana ..jitu zito kama lukaku ndo kabisaa litapoteana.
Kesho ndo itadhibitika kuwa kikosi cha man u hakitakuwa na ushindani wowote wa kutisha kwenye michuano ya UEFA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Merson mpuuzi kweli eti anasema tutamaliza ligi tukiwa wa 4
Man u haina kiwango cha kutosha kuifunga Madrid. .
Man u haina kiwango cha kutosha kuifunga Madrid. .
Nyie mtaleta ushindani kune ligi tu. ..
Sent using Jamii Forums mobile app