hivi bale wa nini pale ot???..havutii hata kumtizama kudadadekiKuna rumours UNITED wanataka kumnunua Gareth Bale kwa €90.. Binafsi Naona Bale kuja Manchester ataharibu mambo kwa sababu ya injuries zake ..Ligi ya England ni ngumu sana kuliko LA LIGA yan huku nahc ndo atakuwa anaumia kila wiki
Sent using Jamii Forums mobile app
jamaa yupo vizur tatzo ni hizo injuries mkuu..anaumiamia kichizi yan..
Sent using Jamii Forums mobile app
wanafiki hawakwepeki hapa jukwaa pendwa.Unafiki wako ni wa kiwango cha fly over mkuu.
Sent From Guest House
Tulikumisi pamoja na everlink,ila cute b aliwawakilisha vema football ladies wetu.mie hapa nyumbani lazma nirudi, na ukiona sipo basi nimebanwa haswaa.
Mie pia simpendi huyu jamaa hata kama Madrid watatugawia bure. Ni heri aje periscope tu kama suala ni natural wing.Kuna rumours UNITED wanataka kumnunua Gareth Bale kwa €90.. Binafsi Naona Bale kuja Manchester ataharibu mambo kwa sababu ya injuries zake ..Ligi ya England ni ngumu sana kuliko LA LIGA yan huku nahc ndo atakuwa anaumia kila wiki
Sent using Jamii Forums mobile app
Periscope ndio niniMie pia simpendi huyu jamaa hata kama Madrid watatugawia bure. Ni heri aje periscope tu kama suala ni natural wing.
Sent using Jamii Forums mobile app
ivan perisicPeriscope ndio nini
Sent From My Nokia Ya Tochi
Bora ibaki kuwa rumours tuKuna rumours UNITED wanataka kumnunua Gareth Bale kwa €90.. Binafsi Naona Bale kuja Manchester ataharibu mambo kwa sababu ya injuries zake ..Ligi ya England ni ngumu sana kuliko LA LIGA yan huku nahc ndo atakuwa anaumia kila wiki
Sent using Jamii Forums mobile app
Mikhi anaweza kuchukua, kwasbabu ana magoli mengiIbrahimović, Mkhitaryan and Pogba shortlisted for the 2016/17 [HASHTAG]#UEL[/HASHTAG] Player of the Season award!
Matic atasaidia sana, ngoja tusibirie ligiNdio maana sinaga wasi wasi na usajili wa mourinho!! Jana niliona shughuli ya huyu jamaa!! sasa sijui tutasingizia nini tena maana beki wapo, kipa yupo, viungo wapo wakiongozwa na pogba na matic, na pale mbele tuna lukaku!!
uzuri hatupotei wote, lazma awepo mrembo wa kuwakilisha.Tulikumisi pamoja na everlink,ila cute b aliwawakilisha vema football ladies wetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
[HASHTAG]#Systematic[/HASHTAG]Ndio maana sinaga wasi wasi na usajili wa mourinho!! Jana niliona shughuli ya huyu jamaa!! sasa sijui tutasingizia nini tena maana beki wapo, kipa yupo, viungo wapo wakiongozwa na pogba na matic, na pale mbele tuna lukaku!!