Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Afu valencia wa pre season sio mwenyewe kabisa...au likizo alikuwa anacheza sana mipira ya viwanja vidogo na mke wake


mourinho kamuagiza ed amchukue serge wa psg na.2 na perisic haraka wakimaliza dili la matic naona kishaona valencia anatakiwa kurud kwenye majukumu ya kushambulia tupate natural bek no.2 namba 3 kuna mtiti wapo wengi balaa.
 
Hilo ni pigo pole yake na fans wote wa united na wapenda michezo kwa ujumla
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…