Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Katika Moja ya Match ambayo ukiwa kama shabiki wa Man U hutakiwi kuikosa ni Match hii ya leo Barca Vs Man United.

Hizi match zinatupatia nafasi ya kufahamu uwezo wa wachezaji wetu mmoja mmoja,mana zinachukuliwa kama sehemu ya maandalizi;hivyo wachezaji wanakuwa huru na wanatakiwa kuonyesha uwezo wao mana Makocha huwaangalia wakati wa kutafuta combination.

Tunaona uwezo wa Lingard,kiwango cha Rashford,ubovu wa Lendorf n.k




Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini ubovu wa lindelof?
 
43bcded330fc955fea49e01f14ae8f47.jpg

Hope the Magician Atakumbushia leo
Labda akumbushie kunyoa vindevu vyake tu maana hapo akuwa navyo
 
Nishalala mchana leo, ili niwe na gap usiku waanane kuangalia game.

Ila siku kombe la dunia litaenda marekani tutateseka sana khaaa...afadhali hili lijalo linakuwa urusi ambao time zone yao na yetu inafanan.

Sasa hawa marekani et tunapishan masaa nane sijui uko.
 
Nishalala mchana leo, ili niwe na gap usiku waanane kuangalia game.

Ila siku kombe la dunia litaenda marekani tutateseka sana khaaa...afadhali hili lijalo linakuwa urusi ambao time zone yao na yetu inafanan.

Sasa hawa marekani et tunapishan masaa nane sijui uko.
La brazil tu lilitutesa.
Kama hii mechi ipo muda ambao usingizi ndio upo kwenye kiwango cha degree.
 
Manchester United are looking at an alternative to Ivan Perisic and have contacted RB Leipzig winger Emil Forsberg's agent. [CMW] [HASHTAG]#MUFC[/HASHTAG]
 
Manchester United would be interested in signing Gareth Bale - if Real Madrid are prepared to sell him. [ESPN]
 
Jose Mourinho on Rooney: "I miss him a lot, I miss the guy a lot, I think he’s a fantastic guy."
 
Jose Mourinho on Rooney: "I’m not the kind of guy that gets normally emotional in my job and I did with him when he left."
 
Back
Top Bottom