De gea watamsikia tu, wakomae kutafuta mwingine kwani Neur si kipa mzuri wangebadilishana na Bayern. Sisi kama wanamtaka basi kroos aunganishwe kwenye hilo dili ili iwe win win situation!De gea kwenda madrid kwa sasa labda Mou awe ameondoka man united.Hakuna mahusiano mazuri kati yetu na wale wapuuzi.Wao kila mchezaji mzuri wanamtaka wao.Halafu magarasa yao hata yakibuma utaskia huyu anauzwa £ 90M.
Kama mimi ningekuwa Woodward ningeomba tukate kabisa mahusiano ya kibiashara na madrid ni washenzi sana wale jamaa
Atakuwa ndo Lukaku mwenyew kabanwa na Pre season
Wewee pesa inaongea lolote laweza kutokea kwa De gea.De gea kwenda madrid kwa sasa labda Mou awe ameondoka man united.Hakuna mahusiano mazuri kati yetu na wale wapuuzi.Wao kila mchezaji mzuri wanamtaka wao.Halafu magarasa yao hata yakibuma utaskia huyu anauzwa £ 90M.
Kama mimi ningekuwa Woodward ningeomba tukate kabisa mahusiano ya kibiashara na madrid ni washenzi sana wale jamaa
Pesa mwanaharamu ila tutajitahid kumshawish kupitia ma Agent wetu Herrera na Matta
Kumbuka Madrid haina historia ya kmtaka mchezaji wakamkosa.Pesa mwanaharamu ila tutajitahid kumshawish kupitia ma Agent wetu Herrera na Matta
Wasubiri tuvunje rekodi yao tutawapa baada ya miaka kumi!
KWELI UKWAPI RUTASHUBANYUMA PLZZ TUMEKUMISS AU UNA BAN MAANAJamani mbona tangu Lukaku aje Man u huyu Rutashubanyuma haonekani sana humu ndani vip..??
Walimtaka De gea huyohuyo mwaka jana, Je walimpata?
Wewe ni mmoja kati ya miwatu ninayoidharau sana. Halafu sijawahi kuku quote kabisa!
Ila uwezekano wa kumchukua ni mkubwa sana.Walimtaka De gea huyohuyo mwaka jana, Je walimpata?
USIISHI KWA KUKALILI
Sent using Jamii Forums mobile app
Press conference ya jana usiku mourinho katuhakikishia de gea hatouzwa msimu huuPesa mwanaharamu ila tutajitahid kumshawish kupitia ma Agent wetu Herrera na Matta
Nimemuona,nilipogundua ni mgeni humu nimeamua kumpuuza kama ulivyofanya wewe!Guys kuna panya mmoja hapo juu kaja kutafuta kiki hapa ndani akitafuta quotes
Mpuuzeni kama wapumbavu wote wanavyopuuzwa duniani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, watu wa aina hii msiwe mnajishughulisha kuwajibu, ni watu wenye matatizo makubwa sana ya kisaikolojia, yani wanaweza kufanya tukio lolote ili watambulike wapo!