Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tumekwama kwenye usajili.....timu zinapandisha value za wachezaji hovyo hovyo.
Wanajua saizi timu ikirudi chini kujinasua ni baada ya miaka!! Lazima wachukue tahadhali. Kama sisi tumeshang'atwa na nyoka, wanajua tukipanda pale juu kuondoka si leo wala kesho. Hivyo timu nyingi zinajaribu kupiga mkwanja mrefu.
 
Rooney akiondoka United itakuwa imepunguza wage bill kwa kiasi kikubwa kwa mwaka 2017

Rooney -260,000
Ibrahimovic-230,000
Schweinsteiger-200,000
Depay-90,000
Schneiderlin-100,000
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…