Wanajua saizi timu ikirudi chini kujinasua ni baada ya miaka!! Lazima wachukue tahadhali. Kama sisi tumeshang'atwa na nyoka, wanajua tukipanda pale juu kuondoka si leo wala kesho. Hivyo timu nyingi zinajaribu kupiga mkwanja mrefu.
Ili li club sasa lakifala linashindwaje sajili kilasiku tetesi2 ufala mtupu kina mourhino amna kitu kumbe hata lacazette tumezidiwa na arsenal ufala uu
Real Madrid wanajaribu kulipiza kisasi cha kutouziwa de gea dakika za mwisho ama wameishaona man utd ni sehemu ya kuchuma pesa kirahisi.
Nampenda mou kwa jinsi anavyofanikisha mambo yake,mwishoni tutafurahi man utd fans.