Manchester United (Red Devils) | Special Thread

unazungumzia ac millan au inter millan?
 
Kipa umbele sasa ni Ivan Perisic na Morata tukiwasajili hao muziki watausikia kwenye bomba
 
James Rodriguez kesha kukubaliana kitita na Manutd ugomvi ni Real Madrid inadai Euro 80-90mill kwa mchezaji hakuchaguliwa hata top 18 kwenye champions league final

Bei ilipaswa isizidi Euro 50 mill
 
Usajili wa Matic hauna uhusiano wowote na usajili wa Fabinho ambaye pamoja na kuweza kucheza nafasi ya defensive midfielder lakini anapendelea zaidi right back na kutoa ushindani mkubwa kwa Valencia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…