Kwa jinsi Martial anavyocheza haendani na falsafa ya uchezaji ya Mourhnio kwa hiyo labda abadilike kwa kupunguza chenga nyingi na kupelekea kupoteza mipira mingi huku hafanyi jitihada kubwa kufunga mabao.
Kwa namna nyingi, kiuchezaji Martial hunikumbusha Nani