Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Hii ni nafasi ya kuwashtua na goli la pili
Keshatupia mkuu..Rashford ubinafsi ni goli kiki
Naona Rashford anatukumbusha mambo ya David BeckhamNi bao jema kabisa

Martial au Mata angeingia anakosa goli nyingibado lingard anafanya nn humu ndani