Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Kwa hizi khabari njema majeruhi wamepona top four finish haina mjadala tena.
Mrejesho tafadhariIDIMI,
Wewe u mtu mwuungwana heshima mbele! Shukrani- ni kweli hawa vijana wa Wenger wanatisha! 13 matches- hatujapoteza hata moja!
hata de gea alianza kama kasper pale OTNiliiona hii habari nikajikuta nashindwa kuafiki kama ni nzuri ama mbaya...huyu mtoto wa schmeichel nimzuri lakini daah kutoka kuwa na De Gea hadi kwa Kasper....
hata de gea alianza kama kasper pale OT