Wapo vizuri na ni mfumo ambao Mou anataka leo tucheze na ndio mana unamuona he is happy with the game, anawamaliza kipindi cha pili now ni 4 33 ila kipindi cha pili tunaweza kucheza 4 4 2 kwa kumuingiza lingard.
Mikh leo hayupo uwanjani kabisa,na Fellain anapoteza sana Mipira kirahisi.
Rashford naona na yeye leo kapewa mtu atembee naye kama ulivyokuwa kwa Herera na Hazard.