Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kweli mkuu mikhy leo hayupo katika form nzuri au mfumo leo umemfanya awe hivyo?
 
Siku ya Chelsea tulicheza lakini leo mkakati sijaujua hata chembe
kuzuia point moja kwa maana ya Droo,lakini wakikaa vibaya tunawapiga,ni game Tactics kumbuka Man City yupo nyumbani na ametoka kufungwa game Karibia mbili so Mou amejihashari lakini sasa hana cha kupoteza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…