Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ibra kapwaya leo,hayupo mchezoni kabisa,afu sijui kwanini Mou hakumtoa kumuingiza felain,Rash ford na Fella in wakisimama kati na Lingard akitokea pembeni
 
With the injury, Zlatan's season has ended so far
 
Ugumu Mou leo kautaka mwenyewe,hii game ilikuwa ya kumaliza mapema,angeanza na kikosi kama kilichoanza na Chelsea mabadiliko yangekuwa machache,namba tatu
 
Ugumu Mou leo kautaka mwenyewe,hii game ilikuwa ya kumaliza mapema,angeanza na kikosi kama kilichoanza na Chelsea mabadiliko yangekuwa machache,namba tatu
Nilivyomuona Ibra... tu nikasema leo sijui
 
Back
Top Bottom