Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sidhan kama kawa Useless, ile law ya Use and Disuse inamsumbua
kabisa,alikuwa anacheza kati,mou kampeleka pembeni..mbona mwaka jana alikuwa vizuri alivyokuwa kati pale na akawa top scorer wetu last season..
 
Mkuu kna vitu ambavo vinaoneka wazi, hata kwenye Tv.
Nadhan utakubaliana na mm kuwa kila Kocha huwa kuna wachezaj anowapenda kuwatumia haijalish hzo stats, Carrick alikuwa key player kipind cha Ferguson, lakn kwa Mo hampi nafas sana. Angalia Fellain anavocheza, lakn Kocha ndo anamkubali
 
Worldwide media presence bigger than usual for today unsurprisingly. And Spider-Cam is back
 

Attachments

  • IMG_20170416_173815.jpg
    126.2 KB · Views: 28
kabisa,alikuwa anacheza kati,mou kampeleka pembeni..mbona mwaka jana alikuwa vizuri alivyokuwa kati pale na akawa top scorer wetu last season..
Martial tangu akiwa Monaco huwa anacheza kutokea pembeni na hata timu ya taifa France anacheza winga alisajiliwa United haikuwa na striker ikabidi achezeshwe na akafanya vizuri.Amekuja kocha mwingine na philosophy nyingine akamrudisha pembeni kubadilishwa namba sio sababu ya kushuka kiwango Rojo,Herrera,Valencia,Young,Mata wamebadilishwa namba lakini viwango ndio vimeongezeka
 
Visit training ground one day utajua kwanini fulani anapangwa na fulani hapangwi. Kocha haangalii sura,jina. Wachezaji wana style na uwezo tofauti. Anaweza kucheza mechi hii akakosa ingine. Tulijuwa na Seb Veroni alikuwa excellent ECL lakinni ikija EPL anachemsha.
 
sasa kweli hata diego costa tukimpeleka pembeni angekuwa ameshinda hizo goli alizonazo..afu sio kwamba martial pembeni hachezi vizuri,ila ni chanse za kucheka na nyavu zinapungua..
 
To be honest! Mourinho Leo Kaamua Kubeti...... Kikosi Alichopanga Kaamua Kwa Makusudi Kuchezea Hisia Za Mashabiki.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…