Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Game ya leo ndo ilikuwa special kwa kina mensah na pereira kucheza bt waliishia kukaa bench sasa sijui watacheza game ipi....
 
Habari humu mjengoni!! I missed you so much,hongereni kwa ushindi,na poleni kwa ups and downs mbalimbali tulizopotia kama timu,ndo vile mambo ya mchezo hayaepukiki,.....GGMU
Unapotea sana mama... jukwaa limepoa sana kukiwa na mechi namwona Ruta mwenyewe huku
 
Ten years ago today
C9B8mqwXoAAFvx4.jpg
 
naomba Mungu amjaalie shujaa wangu Andy cole 9 arudi katika afya yake baada ya upasuaji.
Andy cole ndiye mwanadamu aliyenifanya nipende mpira
187 premier league goals na goli moja tu likiwa ni la penalty.

marcel dessailly : Cole one of the hardest opponents I had faced, chiefly because of his movement.
Ciro Ferrara ni miongoni mwa walinzi wabishi kuwahi kutokezea ila varangati la andy cole 1999 hatalisahau.
images
images
maxresdefault.jpg

images

unapowaona watu hawa mbele unakua na matumaini hata kama tayari aggregate uko nyuma kwa bao tatu tena ugenini
 
Mpaka sasa Arsenal anaongozwa kwa goli moja dk. 39
man united fans tuendelee kuomba
 
Mpaka sasa Arsenal anaongozwa kwa goli moja dk. 39
man united fans tuendelee kuomba
 
Mpaka sasa Arsenal anaongozwa kwa goli moja dk. 39
man united fans tuendelee kuomba
 
Back
Top Bottom