Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Defoeeeeeeeeeeeeeeee goal kick
Haifurahishi ukizingatia Sunderland wana red cardMan U wanatafuta kadi zisizo na ulazima kabisa khaaa
Yaan walitakiwa waloe goli za kutosha hapo ndo unagundua timu yetu bado sana.....Hii mechi illikuwa na goli zaidi ya 5 kosa kosa na umaliziaji bado.
All in all 3 points in![]()
![]()
![]()
Wachezaji wenyewe ni wasteful...timu ina create nafasi za kutosha. Man utd ni ya tatu kwa shots ikiwa na shots 499(kabla ya hii game) ila ni ya 17 kubadili hizo shots kuwa magoli.Yaan walitakiwa waloe goli za kutosha hapo ndo unagundua timu yetu bado sana.....