Ni heri tutoe 20 - 25 pounds milion kwa Sanchez kuliko kutoa more than 80milion pounds kwa Griezman, mchezaji ambaye hatuna uhakika kama ataweza shine EPL
Ni heri tutoe 20 - 25 pounds milion kwa Sanchez kuliko kutoa more than 80milion pounds kwa Griezman, mchezaji ambaye hatuna uhakika kama ataweza shine EPL
Wachezaji wetu hawana ile roho ya kupambana Kama zamani.. Wachezaji wa babu walikuwa sio wazuri kuvile lakini walikuwa wanapambana vilivyo ili kupata matokeo..
Ni heri tutoe 20 - 25 pounds milion kwa Sanchez kuliko kutoa more than 80milion pounds kwa Griezman, mchezaji ambaye hatuna uhakika kama ataweza shine EPL
Dah yani akina Rashford na Baily ambao huwa wanakaza wanalipwa vimshahara kidogo kabisa halafu huyu dogo anaongezewa mkubwa hivi, mtu mwenyewe Ha improve wala nn, hiki kichekesho
Dah yani akina Rashford na Baily ambao huwa wanakaza wanalipwa vimshahara kidogo kabisa halafu huyu dogo anaongezewa mkubwa hivi, mtu mwenyewe Ha improve wala nn, hiki kichekesho
Katika maamuzi mabovu na ya kijinga manchester wamewahi kufanya, mojawapo ni hili la kumpa mkataba mpya lingard, achilia hilo la mshahara hana kiwango hata cha kukaa benzi la utd
Katika maamuzi mabovu na ya kijinga manchester wamewahi kufanya, mojawapo ni hili la kumpa mkataba mpya lingard, achilia hilo la mshahara hana kiwango hata cha kukaa benzi la utd
Katika maamuzi mabovu na ya kijinga manchester wamewahi kufanya, mojawapo ni hili la kumpa mkataba mpya lingard, achilia hilo la mshahara hana kiwango hata cha kukaa benzi la utd
mi kwa upande wangu,kati ya mchezaji anayejiamini akiwa na mpira na move zake zinaeleweka ni lingard,na rashford mbona hamsemi ni mbovu,anakosa magoli ya wazi kabisa..ila mnampiga tu majungu lingard,lakini jamaa anajitahidi ndo maana morinho pia anampa nafasi..