Andrew Young ndiye mchezaji bora leo wengine wakowako tuWachezaji wamelizika sana Young anaingiza cross hakuna mmaliziaji. Kufungwa na team mbovu kama Evertone ni aibu sana
Bado tutashinda hii gemu Lingard atoke na Mhiki aingie dakika zote 45 za ngwe ya piliDuh uwanja wa nyumbani umekuwa mgumu kwetu