Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

N
cc9064885fca915ddf34edb4a3a90f1e.jpg
dbd9c30776c8bbf2c0c670205317d008.jpg
 
lyon ni timu ya kuihofia sana, namu-admire sana golikipa wao.

Sijawafuatilia kwa ukaribu hao jamaa, ila nimesikia habari zao kuwa ni wazuri

Kuanzia weekend hii nitaanza kuwaangalia kwenye ligi yao

Ila ni nafasi yetu kubwa sana kuchukua kombe hili msimu huu, kwa timu hizo zilizobaki
 
Hongereni humu ndani ni maombi yangu mpangiwe celta Vigo au Anderlecht Amen.
 
Back
Top Bottom