Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Usiku mwema tukutane na Middleborough kwenye EPL
Romero anastahili kuwa Man of Match
lyon ni timu ya kuihofia sana, namu-admire sana golikipa wao.Last Eight
Celta Vigo, KRC Genk{Samatta}, Lyon,Besiktas, Ajax, Schalke, Anderlecht na Man Utd
Ubingwa unanukia hapa
lyon ni timu ya kuihofia sana, namu-admire sana golikipa wao.
Ni timu za kawaida tu, bora ungetuombea lyon kama shida yako unataka tukutane na kigingiHongereni humu ndani ni maombi yangu mpangiwe celta Vigo au Anderlecht Amen.
Hivi itakuaje na Leicester naye akishinda uefa?Hata tukishindwa top four ubingwa wa Europa utatuhakikishia champions ligi