Rutashubanyuma JF-Expert Member Joined Sep 24, 2010 Posts 219,504 Reaction score 911,249 Mar 14, 2017 #61,441 Angalau tumehamia langoni kwao lakini tumepigwa counterattack alimanusura wamalize mechi
Dirham JF-Expert Member Joined Dec 26, 2016 Posts 490 Reaction score 543 Mar 14, 2017 #61,442 Ni vigumu kushinda ukiwa pungufu
Rutashubanyuma JF-Expert Member Joined Sep 24, 2010 Posts 219,504 Reaction score 911,249 Mar 14, 2017 #61,443 Manutd ni lazima wajipime uwezo wa kumiliki mpira naona ik sheda hapo
Rutashubanyuma JF-Expert Member Joined Sep 24, 2010 Posts 219,504 Reaction score 911,249 Mar 14, 2017 #61,444 Dakika za majeruhi imebaki moja
Bavaria JF-Expert Member Joined Jun 14, 2011 Posts 53,092 Reaction score 53,568 Mar 14, 2017 #61,445 Pamoja ya kuwa tumefungwa ila mpira tumewapigia..
Rutashubanyuma JF-Expert Member Joined Sep 24, 2010 Posts 219,504 Reaction score 911,249 Mar 14, 2017 #61,446 Kuwafunga Chelsea wakati mpira umepiga kambi upande wa Manutd ujue so kazi nyepesi
SAVAGE AF JF-Expert Member Joined Feb 12, 2017 Posts 826 Reaction score 1,707 Mar 14, 2017 #61,447 Bavaria said: Pamoja ya kuwa tumefungwa ila mpira tumewapigia.. Click to expand... Hatujafanya chochote leo
Bavaria said: Pamoja ya kuwa tumefungwa ila mpira tumewapigia.. Click to expand... Hatujafanya chochote leo
RRONDO Platinum Member Joined Jan 3, 2010 Posts 57,801 Reaction score 129,644 Mar 14, 2017 #61,448 I'm proud of my team.
DonDonald JF-Expert Member Joined Feb 14, 2011 Posts 2,542 Reaction score 2,741 Mar 14, 2017 #61,449 Kutokana na mazingira ya mechi hii yalivyokuwa, man utd wamejitahidi sana
Rutashubanyuma JF-Expert Member Joined Sep 24, 2010 Posts 219,504 Reaction score 911,249 Mar 14, 2017 #61,450 Fergie time siyo leo hata kidogo
Rutashubanyuma JF-Expert Member Joined Sep 24, 2010 Posts 219,504 Reaction score 911,249 Mar 14, 2017 #61,451 Mpira umeisha Chelsea waingia semi sisi ndiyo twaambulia sifuri
N Navoyne JF-Expert Member Joined Dec 12, 2010 Posts 874 Reaction score 373 Mar 14, 2017 #61,452 Viva Valencia ila huyu bishoo anazingua sana leo kante kamuonyesha mpira
Rutashubanyuma JF-Expert Member Joined Sep 24, 2010 Posts 219,504 Reaction score 911,249 Mar 14, 2017 #61,453 Cha kujivunia mechi iliyopita kwenye uwanja huu huu tulifungwa NNE leo twafungwa na refa siyo Chelsea
Cha kujivunia mechi iliyopita kwenye uwanja huu huu tulifungwa NNE leo twafungwa na refa siyo Chelsea
Rutashubanyuma JF-Expert Member Joined Sep 24, 2010 Posts 219,504 Reaction score 911,249 Mar 14, 2017 #61,454 Chelsea 1-0 Manutd (FINAL)
Rutashubanyuma JF-Expert Member Joined Sep 24, 2010 Posts 219,504 Reaction score 911,249 Mar 14, 2017 #61,455 Tukutane Alhamisi Manutd v Rostow
Ferrenga JF-Expert Member Joined Dec 27, 2016 Posts 942 Reaction score 1,659 Mar 14, 2017 #61,456 Bila ile redcard hawa maboya leo wangelala vizuri tu..
Mentor JF-Expert Member Joined Oct 14, 2008 Posts 20,334 Reaction score 23,940 Mar 14, 2017 #61,457 Bavaria said: Dah. Mbona tunashambuliwa hivi? Click to expand... Ndo uwezo wenu ulipoishia. Timu inategemea mababu kushinda
Bavaria said: Dah. Mbona tunashambuliwa hivi? Click to expand... Ndo uwezo wenu ulipoishia. Timu inategemea mababu kushinda
The Bodmas JF-Expert Member Joined Nov 21, 2016 Posts 405 Reaction score 403 Mar 14, 2017 #61,458 Refa kàamua matokeo ....pamoja na kwamba tumefungwa na kutolewa ,vijana wamejitahidi sana aise ....tuangalie mechi ya alhamic ndiyo ya mhimu zaidi
Refa kàamua matokeo ....pamoja na kwamba tumefungwa na kutolewa ,vijana wamejitahidi sana aise ....tuangalie mechi ya alhamic ndiyo ya mhimu zaidi
G Guasa Ambonii JF-Expert Member Joined Aug 13, 2015 Posts 8,545 Reaction score 10,296 Mar 14, 2017 #61,459 Vijana wamepambana nimeyakubali matokeo ndio mpira huo tujipange game inayokuja
Mentor JF-Expert Member Joined Oct 14, 2008 Posts 20,334 Reaction score 23,940 Mar 14, 2017 #61,460 Rutashubanyuma said: Valencia aliruka kwa daruga zote mbili refa kameza ingeweza kuwa red card Click to expand... Afadhali useme wewe. Ukichunguza vyema nyie ndommebebwa leo
Rutashubanyuma said: Valencia aliruka kwa daruga zote mbili refa kameza ingeweza kuwa red card Click to expand... Afadhali useme wewe. Ukichunguza vyema nyie ndommebebwa leo