Mkuu this was another atrocious away display, and to be honest Arsenal pushed harder for the little things and the one-on-ones, so they deserve their victory. Sub ambayo sikuielewa ni ya Anderson seriously taking a CM for a winger? Hakukuwa na mtu wa kumtrack Ramsey, oh well I hope we don't choke up next week a la last season.
Nasikia Alexander Song amepigwa marufuku kuonekana Old Trafford khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Vipi wakuu naona refa alijitahidi kuwabeba baada ya Vidic kufanya mambo yake lakini sikio la lufa huwa halisikii dawa khe khe kheeeeeeeeeeeeeeee
Chacha wazee mliona wanja lile sio cowshed ya pale kwa mafioso team khe khe khe kheeeeeeeeeeeee kama nilivyosema alifu chichi huwa hatutegemei kubebwa kama nyie na ndugu zenu mafioso team, ukitaka kuangalia mazingaombwe fuata Manure au Chelsick khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Ulimwona Walcott leo? Hakupata goli lakini alikuwa anawapa hekaheka, hivi mbona Wine Romney hakuonekana leo alifunikwa na vijana machachari .... ..... .... .. I told you Manure bila kubebwa kwishnei mmebaki na nahau kwamba na nyie mpo kwenye ramani ya soka. Nafurahi mmekabidhiwa kombe leo kama wanoko flani hivi walivyokuwa wanachema.
Pics baadaye kidogo ... .... ... . .. ..............