Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Sana mkuu!Hii gemu ilikuwa ni ya mashambulizi sasa refa kaigeuza na hii red card imekuwa mechi ya kuviziana kama gorrila warfares
Ila fellaini anatakiwa adeal sana Hazard ...Hazard anafanya dribling mbele ya kina Smalling tuu wanamwangalia...
Mipira mingi ni ya kufanyia marking mwwnzo kabisa kabla ya kumfikia Hazard..! Otherwise akiwa na mpira mtu awe naye..
That idiot should never play free!