Angalia tu asee kwa sababu mna injury tutawapa unafuu back line atacheza ike,terry, Zuma na tutampumzisha fabry atacheza matic yule anae tokea benchi,na Pedro atapumzika atacheza willian yule mchezaji wa akiba
Nawaza sana hii game ya Leo harafu ukizingatia hakuna maridiano hata mkitoka sare/draw yani lazima Mshindi apatikane ....Leo majnga kweli ila mungu saidia GGM
Yah mkuu nikiwa na muda wale wakina falcao, cavan, lacazette, ballotelli wananifanya nijikute naangalia ile ligi... .. Hata italia naangalia wale wakina Icardi, banega, dybala, immobile, dzeko wanang'ara sana....