Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ibra nilijua atakosa. Haki imetendeka, hakustahili kuwepo uwanjani.
 
Ibra nilijua atakosa. Haki imetendeka, hakustahili kuwepo uwanjani.

Sikuiona haja ya kumtoa Rooney na kumuacha Zlatan uwanjani mtu ambaye kwa leo anaweza kula Red dakika yoyote na game limemkataa kabisa tangu first half..!! Dah
 
Ibra nilijua atakosa. Haki imetendeka, hakustahili kuwepo uwanjani.
Kwakweli timu itafute mshambuliaji wa kuaminika.. Hizi goli ibra anakosa leo sio kawaida!

Kuna pande ameekewa na Rooney mwanzoni sijui amekosaje pale!
 
Watu wana red na wagonjwa wanne uwanjani alafu bado hii game tunaweza poteza..!! Nafasi ya sita hii mbona ni nyumba isiyouzwa
 
Manutd wakitaka kushinda hii gemu waongeze kasi kwenye winga na krosi za kushtukiza lakini hizi pasi tuuuuuu ni za dorooo maana wanawapa muda Wa kujipanga
 
Sikuiona haja ya kumtoa Rooney na kumuacha Zlatan uwanjani mtu ambaye kwa leo anaweza kula Red dakika yoyote na game limemkataa kabisa tangu first half..!! Dah
Wacha tufungwe tu kabisa. Ujinga huu.
 
Back
Top Bottom