Hahah mkuu najua wewe huna mechi za katikati ya wiki kwa hiyo ukimaliza moja unaangalia ya weekend...
Jamani Schalke walikuwa wanashangaa wanacheza na Man Utd, kweli hii ndio timu ya iliyoipiga Inter 7-3 (agg) I guess sio kila siku unaweza kuperform vizuri.. All in all good results hakuna majeruhi we didn't struggle...
Mguu mmoja ndani ya final, wiki ijayo tunaingiza wa pili. Watani especially Michelle (winking) na AW ahsanteni kwa kutukeep company ingawa mlikuwa mnaombea tufungwe siwezi kuwalaumu maana ndio ushabiki wenyewe huo ati. The worst Man Utd team my ass, we could be under par lakini tuna resilience ya kufa mtu.