Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ha ha..nilijua depression bado na majonzi ya Arsn!!nipo, sijajificha wala nini... niandalie hiyo CPR ila unaweza usiitumie leo!! mwendo mdundo mechi hii!!

Majonzi yameisha zamani, si unajua matatizo ya kizidi mtu unakuwa sugu na kuyazoea lol.

Naona kweli kabisa leo hapa uko salama na ndio maana umejitokeza tangu mapemaaaaaa lol, nakukubali sasa kwa kusoma game lol.
 
hadithi ni ile ile km kipindi cha kwanza.magoli yanakoswa hovyo.
 
Umesikia Chicharito...huwaga tunafunga hiviiiii.....?
 

Michelle! nimehisi kama nakufahamu kwa utashi wa hizo timu zako, eniwei acha nipotezee...Yani Arsenal wangefikisha goli 5 mpaka sasa? labda kwenye fantasies🙂) lol
Basi kalale mapema, mpira ukiisha hujashtuka ujue tumefungwa ila ukisikia kelele sana ujue kitu na boxi!!..
 
Bao hili la TOBOOOO..naomba nili dedicate kwa Michelle....Lol! naomba kupita na mm katkat....kheheeeeee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…