I salute that goalkeeper........mshauri baba yako AW aache ubahili basi....achukue vijana wa ukweliyaani MAN U leo wanachekesha.....em tusubiri hicho kipindi cha pili
Karibu first lady wetu wa ukwel...nakwambia kuna shosti anaitwa Michelle kaomba lift na honi anataka kupiga...apa yupo kubadili CD kwa gar....wa wap hyu?, njoo umsute mama...
Thanks my dear, pamoja kama kawaida na maure!!..namuona Michelle na wafuasi wake, yani tukifungwa tu naona hawatang'atuka wiki nzima kwenye thread yetu tukufu!!..Leo ama zake ama zangu🙂))
Yani lifti tu kashajinafasi kweli binti matata huyo, hebu mshushe njiani!! ha ha
Ha ha..nilijua depression bado na majonzi ya Arsn!!nipo, sijajificha wala nini... niandalie hiyo CPR ila unaweza usiitumie leo!! mwendo mdundo mechi hii!!