Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mtu anaembeza Pogba hajui mpira. Makosa kwa mchezaji ni kawaida hasa akiwa na umri kama wa Pogba ila ukiweka chuki pembeni utaona ni jinsi gani Pogba ni mchezaji mzuri.


kweli mkuu
 
Hakuna mechi meaningless kama hii kwa man utd..hahahahaha

Yani mshinde, mnabaki wa 6.

Mfungwe mnabaki wa 6.

No motivation kabisa aisee.

No motivation???? really???

Tukishinda leo tofauti yetu na mtu wa nne itakuwa ni point 2

Tukishinda leo tofauti yetu na mtu wa tano itakuwa ni point 1
 
Back
Top Bottom