Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Muda wetu pekee wa kudhihirisha nia yetu ya kukitafuta na kukichukua kilicho chetu ni kesho.
Wapinzani wetu wawili pale juu mpaka sasa wamelizwa ile mbaya.
Kwanza nijuze, kilicho chenu ni kipi????
 
No, Leicester kesho anafufuka kama alivyofufuka kwa mdogo wenu WA mjini(man city)
Dalili ya mvua mawingu alikaaa first leg na this second anakalishwa vile vile sisi siyo watu wa sport sport japo sita hatutoki!! ila amini amini nakuambia kesho ni mwisho kukaa sita next week unanipisha paleeeee !!!!
 
Dalili ya mvua mawingu alikaaa first leg na this second anakalishwa vile vile sisi siyo watu wa sport sport japo sita hatutoki!! ila amini amini nakuambia kesho ni mwisho kukaa sita next week unanipisha paleeeee !!!!
Liverpool na Arsenal wamefungwa, na nyie kesho mnaweza shangaa mkadroo
 
Dalili ya mvua mawingu alikaaa first leg na this second anakalishwa vile vile sisi siyo watu wa sport sport japo sita hatutoki!! ila amini amini nakuambia kesho ni mwisho kukaa sita next week unanipisha paleeeee !!!!
Fyuuuuuu Chelsea tumpishe Mr six??? Hata mumsajili malaika na shetani-ibilisi mwenyewe, Chelsea is gone!
 
Fyuuuuuu Chelsea tumpishe Mr six??? Hata mumsajili malaika na shetani-ibilisi mwenyewe, Chelsea is gone!
Mfyuuuuuuuuuuuuuuuuuuu kumbe wewe Chelsea sasa chuki za nini!!! Nilisahau bana nilijua wewe kitoto cha Wenger hahahahahaha!!! Mxiuuuuuwwwwwww!!!
 
Hapana, kumuacha mgonjwa peke yake sio jambo jema sana, ngoja tuendelee kuwepo humu kwanza!
I concur, si vyema kumuacha mgonjwa peke yake.

Yani huyu mgonjwa wetu wa akili anafurahisha. Yani anaona watu wanakuja kumsabahi asubuhi, mchana na jioni anahisi amekuwa famous kumbe twaja kumjulia hali.

Kesho tena ana dozi...hope itampa ahueni!
 
Shindwa na ulegee moja kwa moja mpka kesho mechi iishe.....mmmmmhhh!!! roho mbaya tu sasa uwivu wa nini nikifungwa wakati mapoint umenizidi....embu niombee heri japokuwa yakuuma,nitakie heri tu hamna namna!!!
unataka nilegee unifanye nini mie. Usijali wewe unamaliza top 4, wala usijali kabisa. Naamini hivyo, maana Mourinho tofauti na Klopp na Wenger sana
 
I concur, si vyema kumuacha mgonjwa peke yake.

Yani huyu mgonjwa wetu wa akili anafurahisha. Yani anaona watu wanakuja kumsabahi asubuhi, mchana na jioni anahisi amekuwa famous kumbe twaja kumjulia hali.

Kesho tena ana dozi...hope itampa ahueni!
Kwani uongo !!!! Hamlali hamli mawazo yenu yote United, embu mtupisheeeeeeeeeeeeeeee!!!!!
 
unataka nilegee unifanye nini mie. Usijali wewe unamaliza top 4, wala usijali kabisa. Naamini hivyo, maana Mourinho tofauti na Klopp na Wenger sana
Eeeehhhhh ntajua mwenyewe nikufanye nini!!! ..... Eeeeehhh namna hiyo nipe nipe matumaini miye aaaaahhhh!!! Siyo kila siku makavu afterall sikuaffect kwa lolote!!!
 
Mfyuuuuuuuuuuuuuuuuuuu kumbe wewe Chelsea sasa chuki za nini!!! Nilisahau bana nilijua wewe kitoto cha Wenger hahahahahaha!!! Mxiuuuuuwwwwwww!!!
Tatizo kauli mbofu mbofu za babu yenuu ndio zinasababisha yote hayaaaaaaaasaa
 
Ushawqhi kuuguza lakini mrs. Mcharo??! Ni ngumu kupata usingizi mgonjwa wako yuko mahututi miezi miwili hali yake ni ile ile. Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeee
Hahahhahaha kama mimi niliweza kukuuguza mwaka jana naomba nami uniuguze tu! ila mgonjwa mie mzima ujue utanihesabiaga tu siku za kufa lakini sikufi ng'ooooo na kwanza maendeleo nafanya hahahhahaha mgonjwa huyu balaa!!!
 
I concur, si vyema kumuacha mgonjwa peke yake.

Yani huyu mgonjwa wetu wa akili anafurahisha. Yani anaona watu wanakuja kumsabahi asubuhi, mchana na jioni anahisi amekuwa famous kumbe twaja kumjulia hali.

Kesho tena ana dozi...hope itampa ahueni!
Kabsa mkuu, utakuwa sio ubinadamu kabsa huo kumuacha mgonjwa mahututi bila uangalizi WA karibu, tukisubiri muda tu ufike tuweke matanga!
 
Back
Top Bottom