Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
Niko hapa mkuu sema hii mechi inanipa wasi wasi sana kuliko ata ile ya Chelsea.Mfarisayo naona ushafika jukwaani mapema sijui wewe ndio umetumwa kuja kufukia tunguli leo hapa na mkuu Manda ha ha ha.
BJ yeye anapenda kujificha mpaka mwisho mwisho sijui ana ugonjwa wa presha lol. Eqylpz atabiriki na Belo toka awe na avatar yake ya Webb hana wasi wasi na matokeo anajua yapo mikononi mwa refa.
LEO NDIO ILE MECHI YA KWNZA YA NUSU FAINALI YA UEFA CHAMPION KATI YA SCHALKE 04 (GERMANY) Vs MAN UNITED (ENGLAND) TIME YA GAME 3:45 pm.
</p>Niko hapa mkuu sema hii mechi inanipa wasi wasi sana kuliko ata ile ya Chelsea.
Muda ni huohuo, huna dstv? Inaonekana hawa Agape wataonyesha kwa wale wenye king'amuzi chao cha ting.Hapo kwenye nyekundu umenichanganya mkuu na sasa naangalia agape tv sioni kitu. Msaada tafadhali.
Niko hapa mkuu sema hii mechi inanipa wasi wasi sana kuliko ata ile ya Chelsea.
Niko hapa mkuu sema hii mechi inanipa wasi wasi sana kuliko ata ile ya Chelsea.
nina hofu mnaweza ifunga Barcelona....:A S 39:
Mechi zenu zote za kununua mtaachaje kuwa na wasi wasi? khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeee
Nitakukumbusha maneno yako<p></p>
Usijal mkuu...awa wetu, waliwafuma vibonde Inta..leo watauona mwezi leo..
Afadhali leo huna tatizo la foleni manake una visingizio sana mkuu lolAW
Punguza kuwanga kaka! hahahaha! apa nilikuwa na vimeo vya ofcn lakn bosi atajiju kesho, tukishinda nakesha hadi viishe, unles otherwise kesho natafuta ED mapemaaaaa!
Niko hapa mkuu sema hii mechi inanipa wasi wasi sana kuliko ata ile ya Chelsea.
Hawana uwezo huo.lol
Watani nitakuja baadae hapa kuwanga kama nyie mlivyotuwangia tulipocheza na Barca au sio? lol