Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Hamna shaka mkuu...ila ushindi nadhani utakuja kuchukuliwa nyumbani kwenu hapo hapo in few days....zaidi leo vijana wamejitahidi sana....
 
Huyu chicharito nomaaa sana. Anajua kazi ya striker nini.


Haya watani naona mna nia ya ubingwa na ndio maana mna fight mpaka dakika ya mwisho.hongereni.

Mie nasubiri timu yangu kesho ya "kombe tumelikosa lakini pasi twazipiga".
 
kumbe watu wa Manu mlikuwako mlikuwa kimya vipi pressure?
Wachovu sasa utawasikia eeehe tulikuwako tokea mwanzo mbona hamsemi

Mkuu tutaandika vipi na huku tunaangalia mpira...tulikuwepo yes hahaha imekuuma enheee???
 
Huyu chicharito nomaaa sana. Anajua kazi ya striker nini.


Haya watani naona mna nia ya ubingwa na ndio maana mna fight mpaka dakika ya mwisho.hongereni.

Mie nasubiri timu yangu kesho ya "kombe tumelikosa lakini pasi twazipiga".

Hahaha nimecheka sana etii kombe mmelikosa nalakini mnaweza kushinda bado...... pass mnazipiga au sio???
 
<p></p>


Sema shida yako kijana, sio unanyatia tu...tupo...tumejaa tele, unles PC yako ina makengeza.

...leo ulikuwa peke yako humu bana! wengine wote presha juu ...Anyway, hongereni sana.
ha ha ha!

kumbe watu wa Manu mlikuwako mlikuwa kimya vipi pressure?
Wachovu sasa utawasikia eeehe tulikuwako tokea mwanzo mbona hamsemi

...nawe uliona ee? ha ha ha...walikuwa wanachungulia nyuma ya sofa!:behindsofa:
 
<p></p>
<p>&nbsp;</p>

Nyie ambao hambebwi kwenye intaneshno mko wap?..kam a hujui tunaelekea Wembley.

Manda achana na hawa!... ni walewale badala ya kuangalia BOLI anaangalia refa......
 
Hongereni sana watani,hakuna wa kuwazuia mwaka huu.......Mwendo mdundo...

Hongereni sana......Mnastahili kuwa mabingwa,timu yenu ina ari ya ubingwa kwa kweli,I wish hata Arsenal tungekuwa na wachezaji ambao si wakata tamaa na wenye mawazo na mbinu za ushindi kama yenu....

Binafsi niko kwenye mfungo wa maombi(retreat) kuomba ARSENE WENGER afukuzwe kazi Arsenal.....

Mumushukuru sana Mungu kwa kuwapatia Sir Alex Ferguson......Tukutane msimu ujao(ambao mambo kwetu yatakuwa ni yale yale kama AW ataendelea kuwa manager wetu)

Bala.
 
Inauma mkuu kuangalia watu wananyanyua vikombe huku tunasubiria bila matumaini zamu yetu ifike tena.

Kabisa mkuu inauma sana....sasa sijui tuseme kuchoka au vipi...maana toka mwanzo huwa wanaanza vizuri sana ila dakika za mwisho ndio wanaharibu......mechi za kushinda wa droo.......
 
Wewe ulikuwa unaangalia mechi gani?
manu wamebebwa sana tu wala hakuna kukataa hivi mpaka lini mtakuwa hivi ndio kwenye International mnakuwa mdebwedo
Ndio maana tuko kwenye semi final ya Champions League
hiii back pass ref hakuiona na golyy kauchukuwa
Aisee huyu ref kama ndio hivi sina la kusema
Again ulikuwa unaangalia mechi gani wewe, alafu unajua sheria za mpira ama basi tu ni shabiki....nikutumie PDF ya Laws of The Game?
kudadeki ref
Mkuu give it a rest kila kitu refa refa, wenye timu wenyewe walikuwa hawalalamiki wewe unapiga kelele....Naanza kupata wasi wasi na uelewa wako wa sheria za soka.
You sound like another bitter ABU.
kumbe watu wa Manu mlikuwako mlikuwa kimya vipi pressure?
Wachovu sasa utawasikia eeehe tulikuwako tokea mwanzo mbona hamsemi
Ebo!! sasa unawaamulia watu wafanye nini na wasifanye nini? Nyie ndio wale hamuonekani kwenye jukwaa la michezo mpaka Man Utd ikiwa inacheza
 
Kabisa mkuu inauma sana....sasa sijui tuseme kuchoka au vipi...maana toka mwanzo huwa wanaanza vizuri sana ila dakika za mwisho ndio wanaharibu......mechi za kushinda wa droo.......
Mmechoka kwa kipi mlichokifanya? Umeona jinsi wachezaji wangu walivyochoka maana tunacheza mechi kila baada ya siku tatu sasa....!!
 
Fellow Reds ahsanteni kwa kuliweka jukwaa busy.. all in all point tatu muhimu sana ukizingatia tulipanga wachezaji kama Evans na O'shea na Gibson (siku zote nikiwaona Evans na O'shea napata wasi wasi) kama nilivyosema jana hii mechi ni muhimu kuliko ata ile ya Newcastle, to be fair Everton walicheza vizuri ingawa mara kwa mara walikuwa wanataka kupaki basi lakini wamejitahidi sana at one point nilianza kuamini hatutopata goli lakini ile resilience yetu imetupa goli mwishoni.

Kuna mshabiki mmoja wa Liverpool nilikuwa naangalia naye mechi hapa, nilianza kulalamika kwa nini Chicharito bado yuko uwanjani jamaa akaniambia dogo ana goli kumbe ilikuwa kweli (sifai kuwa kocha maana ningemtoa.)

One game at a time, jumanne tuko Schalke but for now ngoja nishangilie maana it was a hard earned victory and I could careless what our detractors say. By the way goli la leo lilikuwa goli letu la 100 msimu huu na lilikuwa goli la 19 la Hernandez.
 
<p>
Pole sana mtani...umeongea kwa uchungu sanaaaaa....!

In grief as well
Manda
 
Maneno aliyoongea Balantanda kweli yanatia uchungu,natamani Mr Bean angejua jinsi anavyowaumiza watu huenda angejiuzulu
 
manu wamebebwa sana tu wala hakuna kukataa hivi mpaka lini mtakuwa hivi ndio kwenye International mnakuwa mdebwedo

Kwa miaka mitano tumeingia semi final mara nne, mara mbili tumeingia final, so hizo international unazoziongelea ni zipi?
Au ulikuwa unazungumzia timu zetu za Tz?
 
Zimebaki point 6,3 tutachukulia Emirates,Chelsea najua watapania sana nyingine tutaenda kuchukua kwa Blackburn.Kwa kiwango cha Chicharito naona kabisa Berbatov atakimbia mwenyewe msimu ujao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…