Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Bastian, what a professional footballer!! Pamoja na vitimbwi vyote, sijamsikia akilalamika wala kuongea ongea na media! Hopefully, ataendelea kupata some play times. [HASHTAG]#werolling[/HASHTAG], [HASHTAG]#weballin[/HASHTAG]
Bastian anaipenda sana Manchester United
 
.....Na kule kwa Maalim Seif watoto wa Jangwani wamepigwa miguu ya stuli na Wauza Ice. Ndo maana soka ni mchezo unaovutia....
 
Nmekupata vema mkuu,,,, good analysis
 
Mnacheza na katimu cha daraja la tano uko mnashinda afu mnajionaaa ..amwoni ata aibu mnapanga likikosi lenu lote la kwanzaa


Chelsea kanaswa mara kibao na hivyo vya daraja la tano ndo mana fa inamoiga chenga
 
Scholes: "Let's hope Rooney breaks the record against Liverpool. If Manchester United beat Liverpool, they're back in the race."

-RS
 
Bastian, what a professional footballer!! Pamoja na vitimbwi vyote, sijamsikia akilalamika wala kuongea ongea na media! Hopefully, ataendelea kupata some play times. [HASHTAG]#werolling[/HASHTAG], [HASHTAG]#weballin[/HASHTAG]


ndo mana mou kaamua kumbakisha ijumaa kwenye press kasema haendi kokote ana mashindano mengi atacheza tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…