Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wakuu heshima kwenu,,, kwanza hongera kwa ushindi huu wa mabao 4 kwa 0, ningependa kukaribishwa katika jukwaa hili maalumu kwa chama kubwa Man Utd,, n mdau japo nlikuwa sishiriki kwa kua sikuwa jf member,, pongezi kwenu Wakuu,, good job,, Kisu cha ngariba,, mussolin,, bavaria,, fund herrera,, sister,, na wanajumuia wote wa great Utd,, GGM Man Utd
Karibu jukwaani, Karibu nyumbani, Jisikie Huru. GGMU
 
Wakina martial walikuwa wanaumia mazoezini na muda wa kupasha kabla ya mechi anamchosha giggs kwenda kuwafuata wakina love na macnair yule mzee mazoez yake balaa halafu timu short on target moja
sikuwahi kuelewa nini hasa yalikua malengo yake,,,, Utd mpya nafasi ya kiungo mkabaji ikamshinda huku akiwa na,, Car16,, Bast na Scheneidlin,, some time Wazza na Big Fella
 
sikuwahi kuelewa nini hasa yalikua malengo yake,,,, Utd mpya nafasi ya kiungo mkabaji ikamshinda huku akiwa na,, Car16,, Bast na Scheneidlin,, some time Wazza na Big Fella


Moyes na van gaal tulipotea timu ilikuwa ya mou hii angeipata toka 2013 leo story ingekuwa tofaut mana watu anaosajili ni watu wa kazi tu
 
Moyes na van gaal tulipotea timu ilikuwa ya mou hii angeipata toka 2013 leo story ingekuwa tofaut mana watu anaosajili ni watu wa kazi tu
Ila mkuu,, unahisi kwa nini morgan kachemka OT ili hali alikuja akiwa na takwim nzuri katika suala zima la.ukabaji??
 
Ushindi wa leo ni salamu tosha kwa majogoo..Bado naimani na Rashiford na Martial ukizingatia game ya leo wamecheza kwa kiwango murua kabisa,Mou naomba tr 14 hawa vijana waanze.Afu hilo jambazi Fellain peleka JKU au Jang'ombe boys kwa mkopo
 
Ila mkuu,, unahisi kwa nini morgan kachemka OT ili hali alikuja akiwa na takwim nzuri katika suala zima la.ukabaji??


Morgan mi kwa upande wangu naona kama wale viungo wa kizaman wanakabia chini sana hapandishi timu kama carick ni wazur ukishinda usiposhinda timu inakuwa nzito kwa sasa wanahangaika manchester kupata kiungo kariba ya carick kipind cha kwanza mou alifeli alikuwa anajihami sana sisi hatuna soka la kuzuia ni kishambulia ndo mana anamtoa smalling anamuingiza rashford bado timu ipo sawa hii ni kitokana na kuwa na viungo washambuliz herrera na carick wanakaba na wanashambulia
 
efaf52a4d2087ac5f9f824082f022efa.jpg
 
Morgan mi kwa upande wangu naona kama wale viungo wa kizaman wanakabia chini sana hapandishi timu kama carick ni wazur ukishinda usiposhinda timu inakuwa nzito kwa sasa wanahangaika manchester kupata kiungo kariba ya carick kipind cha kwanza mou alifeli alikuwa anajihami sana sisi hatuna soka la kuzuia ni kishambulia ndo mana anamtoa smalling anamuingiza rashford bado timu ipo sawa hii ni kitokana na kuwa na viungo washambuliz herrera na carick wanakaba na wanashambulia
Unawazo km langu nawazza Nani atakuwa replacement ya car9 ...maana sioni kabisa aise
 
Man utd ikibeba carling tu, kwa mwendo huu, msimu tunafunga hesabu ya kubeba vikombe vyote vinne, epl, europa, fa and carling yenyewe bila kusahau ngao tumebeba. Yaani mou anakimbiza mwizi kimya kimya, ngoja achukue carling February ndiyo watamjua mou ni nani
 
Manchester United legend Scholes admitted that he is excited about his former club’s current form.
“Manchester United of the past six weeks have looked like the Manchester United of old. They want to score goals and they’re playing with purpose and creating chances all the time. It’s difficult to play against,” Scholes told BT Sport.
Manchester United are in sixth place in the Premier League table and two points behind fourth-placed Manchester City
 
Ushindi wa leo ni salamu tosha kwa majogoo..Bado naimani na Rashiford na Martial ukizingatia game ya leo wamecheza kwa kiwango murua kabisa,Mou naomba tr 14 hawa vijana waanze.Afu hilo jambazi Fellain peleka JKU au Jang'ombe boys kwa mkopo
Fellain tuwape Yanga Yetu Ltd
 
Back
Top Bottom