game ya leo Tot atampiga chelsea kutokana form nzuri waliyokua nayo kwenye mechi 3 zilizopita ambapo Harry Kane na Delle Alli wamewanyanyasa ipasavyo wapinzani.Kwahiyo Chelsea leo asipokua makini anafungwa pale White hate lane hii itafufua matumaini yetu ya kuchukua ubingwa kwa mara nyingine toka mwaka 2013..God bless Man u