Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sikupata tabu wakati wanamponda mou,Pogba na ibra nilijua it's just a matter of time well done Lads


To be Honest Ni Kweli Ibrahimovic Katuprove Wrong!!! Lakini Uongeleeni Mpira Kisport Zaidi Musiongelee Kisiasa!!!
Mwanasiasa Akishakuwa Madarakani Hata Akiharibu Basi Chama Chake Kitamsifu na Kukataa Kuboronga Kwake!! Lakini Mpira Hauko Hivyo! Mchezaji Akiboronga Hata Hike 2nd Half Katika Mechi Moja tu Basi Anapaswa Kuongelewa Performance Yake...

Ni ukweli Usiofichika Kuwa Takriban Mechi 10 za Awali Za EPL (Toa 3 za Mwanzo) Ibrahimovich alikuwa Flopi Na Useless! Sasa Kwanini Asijadiliwe Kipindi Kile???
Hivi Hujui Kuwa Hata Neymar Jr sasahivi Yupo Katika Diffficult Time na Tayari Watu Wanaanza Kuquestion Kiwango Chake???
Hiyo Ndiyo Soka Mkuu...

Sasahivi Ni Kweli Ibra Katuprove Wrong Kwa Kurudi Katika Form, So no need to question his performance....
 

Dah, umenikumbusha kitu kilichonifanya nifute matumaini yangu kwa Moyes, nilikuwa namkubali sana na nilihisi atatufikisha mbali, ila alipoongea hiyo kitu basi tena.
 
Acheni unafik, nafasi si walipewa wakazingua? Wamerejeshwa wazee timu inafanya vyema, utd si kituo cha kulea yatima, wakitaka namba wapige kazi, wakizingua tutawapanga hata kama ni vizee vinavotembelea mkongojo mradi watimize wajibu wao na timu ishinde, au unataka wapangwe vijana waharibu ili muje kufanya fujo na dhihaka? Mutasubiri sana
 
karibu ingawa nakuona kama mpya uku.
Asante kwa ukaribisho, japo pia si mpya, sema huwa sichangii sana, ila huwa nasoma tu. Na ukaribisho kwenye jukwaa hili, nilifanyiwa mwaka 2011 kama sijasahau.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…