Ondoa hilo mojaHongereni kwa offside goli...!
Ni sawa na kutumia viagra halafu unajisifu una nguvu za kiume.
Ufafanuzi wa nini tena mkuu? Fafanua unachotaka.Unataka ufafanuzi ama?
Full.Do me a favour man, naomba usini qoute
Hapo kwa arsenal waweke spurs.Top five may be possible.
Mwisho wa msimu;
1. Chelsea
2. Man city
3. Liverpool
4. Arsenal
5. Tottenham
6. Man utd
Sikupata tabu wakati wanamponda mou,Pogba na ibra nilijua it's just a matter of time well done Lads
Asante sisterhongereni kwa ushindi jamani...........
hongereni kwa ushindi jamani...........
kabisa yani boxing day ilikuwa poa na mwaka tunamaliza poa.Asante Sister,tunamalizia mwaka vizuri.
Watu ni wa ajabu sana mkuu, kuna timu zinafanya hovyo, kuna talents nyingi zinapotea huko nje, lakini as long as sio sehemu ya manchester basi hawana shida nazo, kitu kidgo tu kikitokea manchester basi ni stori ya dunia.
Waliongea sana oooh mata lazima auzwe cha ajabu soon mata ataongeza mkataba miaka minne, alipokuja Zlatan oooh mzee so far ana goli 12 goli moja nyuma ya costa, yaani kila kitu mou atakacho kifanya basi ni tatzo, sasa wanataka Rashford amuweke benchi Zlatan, yaani zlatan awe anamuangalia Rashford anachofanya uwanjan then nae ndio aje afanye hivo HAHAHAAAA. Hawa watu wanatofauti gani na moyes aliyesema akina vidic na rio waangalie cd za jagielka ili wajifunze kitu
Gem mnashinda kwa kubebwa ...amna kitu
Lilikua ofside lakini kulikataa goli kama lile ni dhambi na laana hata kama lilikua offsideWakuu nipeni ufafanuzi kidogo gori la mikhitarian sio offside ile kweli..??
Acheni unafik, nafasi si walipewa wakazingua? Wamerejeshwa wazee timu inafanya vyema, utd si kituo cha kulea yatima, wakitaka namba wapige kazi, wakizingua tutawapanga hata kama ni vizee vinavotembelea mkongojo mradi watimize wajibu wao na timu ishinde, au unataka wapangwe vijana waharibu ili muje kufanya fujo na dhihaka? Mutasubiri sanaSikumaanisha Hivyo Mkuu!! Namaanisha Kuwa Mourinho Anaendeleza Falsafa Yake Ya Kuwapoteza Vijana Hasa Pale Ninapomuangalia Very Talented Boy Anthony Martial na Depay Wanapopoteza Ndoto Zao...
Manake Mchezaji Kipaji Aliyekuwa Na Ndoto Za Kucheza One of the Top Club in Europe Halafu Akaishia Everton ni Ridiculous.....
Ndiyo Mana Nikasema Rashford Naye Huyo....
Mkuu achana nae ndo wachawi wenyewe haoMourinho anachezesha mchezaji anaefanya vizuri,mbona haumuongelei Lingard?
Asante kwa ukaribisho, japo pia si mpya, sema huwa sichangii sana, ila huwa nasoma tu. Na ukaribisho kwenye jukwaa hili, nilifanyiwa mwaka 2011 kama sijasahau.karibu ingawa nakuona kama mpya uku.