Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hahahaha na hata sikumstua nilikuwa nataka niisikilizie mechi kwanza....maana hawa WBA walikuwa wanatishia amani sana...... yaani zawadi tosha kwangu ...thanks Ibra.

Toa location wapi basi ya mnuso, na jinsi nilivyofulia miteremko{party} kama hizi siwezi kuzizembea kabisa lol

Tuje kusherehekea ushindi wa leo, na kupiga story za tofauti ya point 4 na timu iliyokuwa nafasi ya pili
 
wp_ss_20161217_0005.png
 
Toa location wapi basi ya mnuso, na jinsi nilivyofulia miteremko{party} kama hizi siwezi kuzizembea kabisa lol

Tuje kusherehekea ushindi wa leo, na kupiga story za tofauti ya point 4 na timu iliyokuwa nafasi ya pili
Hahahaha njooo Goms huku uswazi kwetu full shangweee!! Njooo tupige kitu cha kazi!! Kazi!!
 
Back
Top Bottom