Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mou kaishiwa mbinu, hana jipya anapeleka jehanam, anawaza sana kujilinda kuliko kushambulia, soka la kisasa njia bora ya kujilinda ni kumiliki mpira, unamtoa Mkhitryan then unamuingiza Fellain asiyefaham hata kutoa pass. Lol
 
Punguzeni ushabiki usio na maana Rooney alikuwa suspended baada ya kupewa yellow card mechi iliyopita
Yaani, ikabidi nii-like hiyo post ya braza. Maana tumeingiliwa na mamluki! Kwenye mechi, watangazaji walisema kabisa, Rooney yupo suspended, hata kama hafuatilii habari za timu, hata kusikia hasikii?!?
 
Mou kaishiwa mbinu, hana jipya anapeleka jehanam, anawaza sana kujilinda kuliko kushambulia, soka la kisasa njia bora ya kujilinda ni kumiliki mpira, unamtoa Mkhitryan then unamuingiza Fellain asiyefaham hata kutoa pass. Lol

Sidhani kama uliangalia mpira Mkhitarian,Pogba wote kipindi cha pili walichemsha hao ndio walipaswa kutolewa na tatizo sio kuwatoa but walioingia ndio hawakuwa na msaada,Mourinho alipaswa kubadili formation na kumuingiza Mata atoke Pogba/Mkhitaryan
 
Watu mnaompinga José (I never loved his style of coaching, but I respect him as the team's boss), mna mbadala gani wa kuiweka timu pazuri zaidi? Maana mnalalamika tu, halafu sioni mna mapendekezo gani realistic kwa kipindi hiki?

Ni kweli, his game plan(s) have not been working that perfectly, but 3 years after losing the boss who have been at the club for 26 years, it was obvious that it ain't gonna be easy for the team. Sasa mimi kwa kweli, siyo mshabiki wa timua timua: sikupenda kutimuliwa kwa Moyes na LvG. Naamini katika team stability, and that needs time and patience, jambo ambalo ni gumu (but doable) katika modern football. Besides, it hasn't been that bad (considering the loss of SAF) with one FA cup in the last 3 seasons. I know, as United fans, over the last 20+ years, we have been spoiled with winning championships. But, let's be realistic and rational for the moment.

Despite, not being a José's fan, but let's give him time. Poor results are hurting for real, but [HASHTAG]#tutafika[/HASHTAG]
 
Unaongea ukweli, Mou alibweteka na ushindi wa juzi wa 4 dhido ya west ham, that was just EFL cup!, na hata hivo Wenger jana kampiga west ham huyo huyo 5 tena kwao. This means hata juzi tuli underperform.
Kila siku ana jitetea bahat mbaya, how comes iwe bahat mbaya mech zote hizo, thats a crap.

Kama leo ndio nimeona hana tactics kabsaa, Kipindi cha kwanza tulicheza afadhali siyo vizuri na goli lenyewe ibra kafunga ni kipa alifanya kosa kiaina tu, kwa mfano mashambulizi yale ya mwishoni ingewezekana hata tungepigwa 2-1, then anatoka Mikhi ana ingia Fellaini, duuh!!

Mou apewe muda lakin kama kila siku hata admit makosa ana sema tuu we were unlucky hapo nadhani hana maana. Na nakumbuka Moyes alifanya vzuri kuliko yeye japo alikuwa na wachezaj wabovu na wasio mpenda kabsa. pia Mou ana lipwa pesa nyingi ili alete matokeo not otherwise.

Daah! Mkuu nna mengi ya kuandika sema bas tu.
 

Since Mourinho amekuja United hujawahi kuona anything positive so utaendelea kumlaumu kila siku kibaya zaidi hata mengine hajafanya unamsingizia kila kitu,kibaya zaidi unasema bora LVG angebaki
 
Bora mechi ilivyoisha nilizima simu maana kwa hasira nilizokuwa nazo ningeingia JF ningekula BAN.
 
Sidhani kama uliangalia mpira Mkhitarian,Pogba wote kipindi cha pili walichemsha hao ndio walipaswa kutolewa na tatizo sio kuwatoa but walioingia ndio hawakuwa na msaada,Mourinho alipaswa kubadili formation na kumuingiza Mata atoke Pogba/Mkhitaryan

Belo nahisi kama manure walikurupuka kumfukuza MOYES...!!! so far hakuna tofauti sana baina ya MOYES na JOSE

manure wanatakiwa wa stick kwa manager mmoja
 
Belo nahisi kama manure walikurupuka kumfukuza MOYES...!!! so far hakuna tofauti sana baina ya MOYES na JOSE

manure wanatakiwa wa stick kwa manager mmoja
Kwa hili nakubaliana nawe...ila siku patience na team stability (kwa United) havizingatiwi kabisa...Moyes could have been a long term project...sasa baada ya 14 games, watu humu wanataka Mourinho afukuzwe, really?
 
Kaka, jibu maswali yangu.

BTW, unajua kwamba katika soka, magoli siku zote utokana na kosa lililofanywa na timu pinzani? Sasa nakushangaa unapodharau goli la Zlatan kwa kusema lilitokana kosa la kipa, as if it ain't normal in football.

What's your way forward? As a football analyst (as you try to make yourself, one) what should United do?
 
Belo nahisi kama manure walikurupuka kumfukuza MOYES...!!! so far hakuna tofauti sana baina ya MOYES na JOSE

manure wanatakiwa wa stick kwa manager mmoja

Moyes alipewa timu kipindi kigumu sana (SAF ndio alikuwa kastaafu) watu waliamini timu bado ni bora sababu ni bingwa mtetezi na kilichomwangusha zaidi hakuwa na influence kwenye kusajili wachezaji wakubwa(Fabregas,Baines,Herrera,Kroos) wangeweza kusajiliwa fedha ilikuwepo na wachezaji walikuwa available.Kama angemaliza top 4 asingefukuzwa
 
Wenger alipewa red card lakini hakufungiwa na baadae boss wa marefa alimuomba msamaha
Mourinho alifungiwa kwa sababu ya previous history. Mourinho ukikumbuka alikuwa na suspension bans, fines kabla ya last incidents ni kama vile mchezaji anavyopata yellow cards kadhaa (5)then anafungiwa mechi 1. Wenger aliombwa msamaha sababu alikosa sehemu ya kukaa(ktk stand ) baada ya kutoka nje Lakin refa akazidi kung'ang'ania atoke nje . Ukiangalia ile picha utaona akiashiria there's no more further places he can go
 
Kwa hili nakubaliana nawe...ila siku patience na team stability (kwa United) havizingatiwi kabisa...Moyes could have been a long term project...sasa baada ya 14 games, watu humu wanataka Mourinho afukuzwe, really?

afu kaka Fellain naona kama fans wengi wanamfanya scape goat.....mambo ya witch hunt

MOJA :everton walikuwa ovyo kabisa walikuwa hawana uwezo wa kucheza hata pasi 3 washabutua na mpira wanawaletea ilifaa game mumalize 1st half kwa kufanya build ups za maana

PILI: mmliingia kwenye TRAP ya kucheza mpira wao ghafla mlipanic second half mkawa MNABUTUA BUTUA kama wao

TATU: ukitizama kwa makini IBRA mnambebesha mzigo kubwa sana....wings na AMD wanafaa wamsaidie sana, kuna wakati anakuwa ISOLATED pale mbele, jambo la hatari ni kuwa IBRA akipata injury mta struggle mara dufu kupata magoli

maana kama naona TIMU imejengwa kumzunguka yeye na KUMBUKA ni 35 year old umri huo ni DELICATE kila game huyo huyo ni kama BUBBLE ambayo yaweza BUST mda wowote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…