Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 11,349
- 13,873
Kwakww vijana wamecheza mpira mzuri
Naona simba ishakuharibuHii mechi ya leo inaleta mashaka, wadachi wamepokea pesa kwa mpira waliocheza. Walikuwa wanawapa mipira Man United wafunge na Feyenoord walikuwa wanatembea uwanjani badala ya kukimbia na kukimbiza mpira.
Mou na Man United naona wameamua kuwapatia Feyenoord 20% ya mapato ya T-shirt.
Sio Simba. Ni gongo ndugu. Si unaelewa viwanda vya gongo salama vinajengwa kwa mwendokasi?Naona simba ishakuharibu
Sio Simba. Ni gongo ndugu. Si unaelewa viwanda vya gongo salama vinajengwa kwa mwendokasi?

bado ajastaafu tuView attachment 439097
Almanusura khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Ndio mambo ya Ali Hamisi kh kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Kwahiyo na Arsenal nao juzi walipewa hela, maana kiwango chao kilikuwa chiniSio Simba. Ni gongo ndugu. Si unaelewa viwanda vya gongo salama vinajengwa kwa mwendokasi?
Wewe kama umeitizama hii mechi kwa macho matupu bila miwani au miwani ya 3D huwezi kuelewa nilichokieleza. Endelea tu kunywa gongo lako, ukiamka namba inakusubiri uisome.
Ni hongera kwetu sote.hongereni kwa furaha ya ushindi.