Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

upload_2016-11-24_20-41-22.png


Almanusura khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Ndio mambo ya Ali Hamisi kh kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
34c404c0-3659-40a3-a1eb-5d3e6f1fb651.jpg

35min Wine Romney Manure 1-0 Feyenoord njooni ban mnashinda khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Hata Nzi leo hayupo kweli Manure wamefulia, Maureen atawatoa kidedea ........ ... ..... .
 
Acha wanga mkuu,

Wakiongea mnalialia, wakitulia mnalalamika haya endelea kutwanga maji mpaka mwisho niko nawewe hapa.

GGMU GGMU GGMU

Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee umejitokeza baada ya goli .... khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee usitoroke chacha ... .... ..
 
Wacha shombo zako weye...kumbe unafuatilia mtanange?!
Aisee yaani unaangalia na kujificha Wacha ngebe unakuja wakati wakati wa HT baada ya kuona uko na ka-goli ka ngama .... .... .... ... . OK uwe una-update chacha mi naangalia mambo mengine kidogo in 15min ... .... .. Ding .... ..... .. Dong,
 
ex
Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee umejitokeza baada ya goli .... khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee usitoroke chacha ... .... ..

Hii siyo nyumba ya kupanga mjomba,

Nikimbie hapa nende wapi? angalia tu utakimbia wewe kama ulivokuja..!! Unasema nimekuja baada ya gori? Angalia post zangu hapo juu

Hii siyo nyumba ya Kupanga mkuu
 
ex

Hii siyo nyumba ya kupanga mjomba,

Nikimbie hapa nende wapi? angalia tu utakimbia wewe kama ulivokuja..!! Unasema nimekuja baada ya gori? Angalia post zangu hapo juu

Hii siyo nyumba ya Kupanga mkuu
Chacha kumbe mpira unachezwa tukae kimya basi tukuchubiri wewe kila baada ya 19 minutes, hatari kubwa BTW you aren't one of those Manure fans whom we know, wewe umesingiziwa tu khe khekheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, kazi kubwa!
 
Hii mechi ya leo inaleta mashaka, wadachi wamepokea pesa kwa mpira waliocheza. Walikuwa wanawapa mipira Man United wafunge na Feyenoord walikuwa wanatembea uwanjani badala ya kukimbia na kukimbiza mpira.

Mou na Man United naona wameamua kuwapatia Feyenoord 20% ya mapato ya T-shirt.
 
Back
Top Bottom