Ingekuwa Bongo tushang'oa vitiRefa katunyima penalty ya wazi kabisa
Nifah sio kawaida yako kuongea mistari michache hivyo,leo assnail hawajafanya la maana kabisaAcheni kulialia nyie,subiri kipindi cha pili ndio mtalia vizuri![]()
![]()

Nifah sio kawaida yako kuongea mistari michache hivyo,leo assnail hawajafanya la maana kabisa![]()
![]()
subiri na uone


