Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Litoto mbele nyuma Pogba kz wanayo team Mr bean

Alafu lile Toto Rashford limesimama no 9 leo litakimbia Na mpira mpk kupita goli... Beki za kati za gunners Leo viuno vitavunjika

Leo Ozil anawekwa mfukoni Leo maana Carrick Na Herrera ni great pair....

Ila naona Utd wamejipanga kupoza kasi ya gunners. Yaani gunners kila wakikukuruka Utd wanapoza ndio maana kuna Fundi Carrick Na Herrera
Ubarikiwe Ntuzu
 
Ila naona Utd wamejipanga kupoza kasi ya gunners. Yaani gunners kila wakikukuruka Utd wanapoza ndio maana kuna Fundi Carrick Na Herrera
Ha ha! Naona unatamani United ishinde ili Goobers wasiwasogelee! I will take this!
 
1479556295728.jpg
 
Ubarikiwe Ntuzu
Watu tunajua mpira ukiona kikosi tu Basi unajua nini kinatokea.

Kuna lile litoto li Runshford d d d did linakimbia hilo center backs za gunners zijipange sn Leo counter zitakua nyingi Na Rangi kutoka kwa Matial Na Mata zitakua nyingi sn alafu Pogba Leo yuko free mid hana majukumu ya ukabaji kwasababu kz yote inamalizwa ya ukabaji Na Carrick Na Herrera

Wapi muke yangu

everlenk Na cute b
 
Nipo kibanda umiza kushuhudia jinsi arsenal anavyopigwa Leo

[HASHTAG]#GGMU[/HASHTAG]
 
Aya mukuje mafans Wa Utd mwaona mulivo washika goons
 
Back
Top Bottom