Achana nao mafala haoView attachment 427277
Naona soka inaendelea kuwa bidhaa ghali sana ulimwenguni, Oneni kufuru hizi za Madrid kwa Bale..!!!
Halafu kunawatu wanapanua mbavu hapa.......oohooo Pogba, Pogba, Pogba!!!
Kijana mchezo hautaki asila...Achana nao mafala hao
Kaangalie hizo statistics tena na uzichambue kidogo sio unafanya copy & paste then unakuja kupiga kelele hapa Henderson,Fernandinho na Drinkwater ndio viungo wenye more touch kuliko Pogba na wote waliomzidi wamecheza mechi 10 while Pogba amecheza mechi 9
Katika wote hao Pogba ndio mdogo (23),Hendo (26) ,Fernandinho(31) na Pogba anacheza msimu wa kwanza kwenye EPL while Drinkwater msimu wa 3,Fernandinho wa 4 na Hendo huu ni msimu wake wa 9,
So Henderson is best centre midfielder in EPL ?
Statistics never lie but liers use statistics
SIASA imefanya watu hawataki kutumia akili walizopewaUsingemjibu
Usingemjibu
Haka kajamaa kanaacha kuhangaikia masuala yake ya mkopo kutwa kupiga ramli humu ndani,SIASA imefanya watu hawataki kutumia akili walizopewa
Uendelee kutukana hivi hivi hata mwezi April mwakani.Nitakukumbusha uje kuendelea kumtukana.Yaani Nyie Pogba-Fanboys Mutasubiri Sana Kwa Boya Wenu Huyo!!
View attachment 427153
In Case of Touches ↑↑ He is Far away From Hendo
View attachment 427156
Who the hell is him??? ↑↑ Even Ngolo Kante is much better than him!!!
View attachment 427157
What about assist ↑↑ ?? He has 0.00000% of assist wich is equal to £85 million From Juventas!
While Coutinho has 4 assists which is equal to £8.5 million From Intermilan
watu wanahesabu hadi per minute.View attachment 427277
Naona soka inaendelea kuwa bidhaa ghali sana ulimwenguni, Oneni kufuru hizi za Madrid kwa Bale..!!!
Halafu kunawatu wanapanua mbavu hapa.......oohooo Pogba, Pogba, Pogba!!!
Carrick hajawahi kumwangusha mou kila anapopata nafasi ya kucheza, natamani aanze game v swansea badala ya shwain kama ndio wazo mou.
watu wanahesabu hadi per minute.
Kwa records za usajili wa Wenger siko vizuri ila najua jamaa ni bahili.Acha kabisa dadangu,
Yaani kwasasa ulichonacho unakilinda kwa gharama yoyote kisije kukuponyoka..!! Huoni hata babu Wenger pamoja na ubahiri wake akilalamika kuwa Wachezaji wake Mastaa wanapaswa kuongezewa mishahara ili waendelee kudumu pale Gunners..!!!??
Anajua mziki wake, Alichokipata kwa Fabregas, Framin, Helb, Song na Nasri hataki kimrudie tena. Na vile mashabiki wake wanaubao wa miaka kumi na kitu ndo anazidi kuchanganikiwa.
Soka la leo bila pesa haliendi..!! Upenzi wa timu uliondokaga na kina, Roy Keen, Cantona, Avrin, Bergcamp, Patrick Viera Stive Gerad, Carragher na wengineo, leo ni pesa mbele...!!
Hivi umewahi kufikiri maishani mwako kuwa Wenger atatoa Paun 42 kununua kiungo mmoja tu.... Narudia, Kiungo siyo Mshambuliaji...!!!!
aisee nimerudi my ila huyu moderator mwenye jina la JamiiForumsBan yako inaisha lini?
Siamini kama mnalia lia hiviVan Gaal ndio alimuuza
MsilieLVG after 10 EPL Games= 20 points
Moyes after 10 EPL Games=17 points
Morihno after 10 EPL Games=15points,
Inauma sana
Key word hapo ni TUTAKawaida kijana... Najua shida yenu tuwetunawanyuka kilasiku ndo mnafurahi.. Msijali wait tuipange tm den tutaendelea kuwanyuuka aaaswaaa.!
LIKE IF URE MAN UNTED BLOOOD.
WE WILL NEVER DIEE
Kuhusu wasifu wa huyo mzee ingekua vizuri ungesema mjerumani ingetoshaYap
Nami nimewaona Shwein na Jones wakipasha hapo, Ukiangalia kwa ukaribu, Shwein ni Mwalimu mzuri sana kwa wenzie uwanjani, halafu ni mtu simple sana. Hana majivuni, kinyongo wala dharau.
Huyu jamaa akikutana na Pogba pale kati itakuwa poa sana japo kwa dakika chache. Ninamategemeo makubwa kwake.
GGMU GGMU GGMU
Hazard to D.Costa.... GOAL
De Bryne to Aguero.... GOAL
Barry to Lukaku.... GOAL
Hendo to Firmino... GOAL
Ozil to Giroud.... GOAL
Pogba to Zlatan.... GOALKICK
Legeza mwendoHaka kajamaa kanaacha kuhangaikia masuala yake ya mkopo kutwa kupiga ramli humu ndani,