ooops afadhali umefika kutoa pole!
taratibu za mazishi zinaendeleaje mkuu??
Daftari la rambirambi nani analo??
nitupie hafa 100 tu ya kinafiq
Parents has got nothing to do with us michezo ni burudani kaka
Hakereki ntuuuuuuuu!!!!! .....life goes on full stop.
Parents has got nothing to do with us michezo ni burudani kaka
kweli ligi haijaisha tuendelee kusubiriKwani ligi imeisha au?
Yaani Ninakushangaa Sana!! Unajifanya Mchambuzi Wa Soka Ukaita Watu Mashabiki Maandazi!!! Halafu Unaishia Matusi!!
Sasa Mchambuzi Wa Soka Anatukana Watu?? Au ndiyo Uchambuzi Wenu huu Munaojisifia nyie Manne United??
Nimebahatika kuona kuwa huwa una kasirika .... pole dear
Pole sana wanguDah ndiyo mpira lakini......
tafuta nilipoandika shabikl maandaz halaf mi sio mchambuz na sijawah kuwa mchambuz tafuta chanzo sio unakurupuka ku kujib sijawah kumwandikia mtu lugha ya kuuzi ukiona hivyo jiulize
Asante......Pole sana wangu
kweli ligi haijaisha tuendelee kusubiri
Mkuu Taratibu! Mourinho na Manne United Wasikufanye Upoteze Kumbu Kumbu! Ninapokwita Mchambuzi Simaanishi Kama Wewe Ni Garry Nevill au Wewe ni Commentator wa SkySport!!! Ninaozungumzia Mimi Ni Huu Uchambuzi Wa Kitathmini Katika Jukwaa Lenu Kabla/Baada Ya Mechi...! Mkuu Ukweli Usiofichika Ni Kwamba Unakuwa Mkali na Dharau Zidi Ya Supporters Wa Timu Nyengine! Hivi Huwezi Kuaccept Challenge Ndogo Kama Hizi!! Sisi Tulipofungwa Na Burnley Watu Walikuja Kukinukisha Katika Jukwaa letu na Still Tukamaintain Ustaarabu Tukawa Calm Kabisa!
Badilika Mkuu You Can't Run From The Truth....
View attachment 423628
acha kulia lia wewe si kweli umekuja geto" ukapigwa bao 4 ........... povu la nini?umenifanya nicheke sana hapo huoni kama ulitumia lugha ya kuzalilisha huwez kumwambia mwanaume aje geton kwako halafu uachwe hizo lugha hazitakiw ukileta lugha za hovyo utajibiwa kwa hiyo lugha mpira na huyo sio mala ya kwanza kuniandikia hivyo ndo mana sikumuacha mi sinaga ujinga kwa mtu anaejitambua pia hao wanaokujaga huko mi hawanihusu mi huwez kuniona huko mi utaniona barcelona,madrid na hapa hizo ndo timu ambazo napenda kujua mambo yao basi
Khaaa na wewe embu punguza kuwa na tafsida kidogoooo tumia lugha za kisport.
acha kulia lia wewe si kweli umekuja geto" ukapigwa bao 4 ........... povu la nini?
ungetaka usiambiwe hivyo mlivyo muona jongoo" msingeinama mkashika magoti.
Tatizo lako tafsiri nyingi Wewe katotolugha ya kisposesess kama hii waliotomia Mwananchi?
Mi Lesista siti Nifah... heheheheHivi Fisadi tofauti na Barcelona Uingereza uko upande gani?