Nipo wangu yaani Leo bahati nilitolewa out dooooohhhhh......na masharti yakawa no interferance ya kitu chochote..... mbona ningekufa ingekuwa live? Ashukuriwe Mungu huyu baba aliyeikumbuka ndoa yake akaunusuru uhai wangu .....nipo naangalia marudio hapa ilikuwa ni aibu,anyway ndo mchezo. ...Asante Kwa pole.Namuonea huruma everlenk, anavyoipenda MANU bila shaka leo kalala mapema sana sijui hata kama atapata usingizi kwa hiki kipigo takatifu cha leo.
Kuchanika kwa mkeka siyo mwisho wa maongezi!!!!............. life goes on......... Manchester United nakupenda Leo kuliko jana...... GGMUyule ni Yuda wala hawezi umia
everlenk kamaliza vitambaa vyote kujifutia machozi anamkumbuka Moyes kama wanavyomkumbuka JMK!
jamani mnautani na everlenk sio huyu sio wewe huyu everlenk toka huko uje hapa pole
Asanteee
Matusi ya nini kaka? ingelikuwa lile jukwaa lenu pendwa Mods wangekoma kwa kitufe cha kureport..... BTW Hongera sana... ulinikabidhi kwa rent boys hakika kilio chako kimesikiwa hawajakuangusha nenda uwalipe compliment yaoLa Nneeeeeeeeeeee mamaee Mourinho Bonge la Kochaaaaaa
Matusi ya nini kaka? ingelikuwa lile jukwaa lenu pendwa Mods wangekoma kwa kitufe cha kureport..... BTW Hongera sana... ulinikabidhi kwa rent boys hakika kilio chako kimesikiwa hawajakuangusha nenda uwalipe compliment yao.
Conte alisema siri yake kweli... ila ukitizama Video Zoom Morinho mdomo unaonekana kuongea ingekuwa Kiswahili tungejua, ukweli wanajua Morinho na Conte pia nawanaojua kusoma lips kwa Kitaliano.Udaku sio angalia magazeti kadhaa yana ripoti alichosema Mourinho.. Daily mail pia limechapisha hii.
nipoooooooooooo ....tukishinda muwe mnakuja pia.
Ndo wameshatafsiri hivyo..,Conte alisema siri yake kweli... ila ukitizama Video Zoom Morinho mdomo unaonekana kuongea ingekuwa Kiswahili tungejua, ukweli wanajua Morinho na Conte pia nawanaojua kusoma lips kwa Kitaliano.
Pore, mwaya pole. Maumivu ni haki, kulia ni haki na kutokwa na machozi ni haki.Kupata au kukosa yote ni matokeo.....Leo tulishindwa .... lakini maisha bado yanaendelea na yanapaswa kuendelea..... Glory Glory Manchester United.
Yaah! ndio maana ya kipindi cha mpito hicho time will tell ila tunafurahi mnavyokuja kwetu ina maana mnatukubali kila la kheri ndugu yangu sisi tutaendelea kuwa united.It will take time mkuu
Tumezipokea pole zako kwa dhati maneno ulonena ni kweli kabisa wacha tuendelee kujipanga kipindi cha mpito huwa kigumu sana thanks NifahJoke aside...
Poleni sana mashabiki wa Man U,inauma lakini ndio mpira wenyewe sasa.
Pole zangu za dhati zikufikie Mdakuzi popote ulipo.
I can feel you bae...
Nikujuavyo leo unaweza lala na viatu au usilale kabisa.
Nakumbuka uliwahi kuniambia "Kufungwa kunaongeza mapenzi kwa club yako,ukishinda kila siku hadi raha ya ushabiki unaikosa...hata kushangilia unachoka
Ila ukifungwa leo,kisha ukaja kushinda...unaweza kupanda juu ya meza kwa furaha"
Naam...huo ndio ukweli,japo hakuna anayependa kufungwa
Period
Kuna makauzu huwa wanakuja na kusema tumebahatisha kwetu kunoga ndio maana hawakauki matokeo yoyote ya United ni khabari kwao. So tuwazoee tunipoooooooooooo ....tukishinda muwe mnakuja pia.
Yaah! ndio maana ya kipindi cha mpito hicho time will tell ila tunafurahi mnavyokuja kwetu ina maana mnatukubali kila la kheri ndugu yangu sisi tutaendelea kuwa united.